• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Utawala na Rasilimali watu


MAJUKUMU YA IDARA YA UTAWALA NA RASILIMALI WATU

  • Kumshauri Mkurugenzi Mtendaji (w) kuhusu masuala yote yanayohusu Utawala na Utumishi katika Halmashauri.
  • Kuratibu na kusimamia masuala yote yanayohusu nidhamu ya Watumishi katika Halmashauri.
  • Kusimamia na kuratibu upimaji wa utendaji wa kazi kwa watumishi kwa kuzingatia Sera ya Menejimenti na Ajira katika utumishi wa Umma.
  • Kusimamia, kutafsiri kwa kuzingatia Sera, Kanuni na Taratibu za mafunzo ya kiutumishi kama yalivyoidhinishwa na Serikali na kushiriki katika kutoa mafunzo.
  • Kuratibu na kusimamia taratibu za kuajiri na kupokea watumishi wapya katika Halmashauri.(Mkuu wa Idara ndiye Katibu wa Bodi ya Ajira katika Halmashauri).
  • Kuratibu na kusimamia taratibu za kuthibitishwa kazini na upandishwaji vyeo kwa watumishi wa Halmashuri isipokuwa Walimu.
  • Kutathimini mipango ya mafunzo ili kupima mafanikio au kutofanikiwa na kushauri marekebisho yanayohitajika.
  • Kuainisha na kushauri kuhusu mpango bora wa mahitaji ya watumishi.
  • Kutunza na kuboresha takwimu za mahitaji ya watumishi katika Halmashauri
  • Kusimamia na kuratibu matumizi au mpangilio bora wa nyumba na ofisi za
  • Halmashuri. (Mkuu wa Idara ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Nyumba.                                                                                                                                       
  • Kusimamia na kuratibu matumizi ya magari na usafiri katika Halmahuri.
  • Kupokea, kuratibu na kushughulikia malalamiko ya watumishi     kutokuwa na Dawati la Malalamiko)
  • Mkuu wa Idara ndiye Katibu wa Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Kuratibu na kusimamia maandalizi ya makisio ya mishahara ya Watumishi (PE) katika Halmashauri.
  • Kuratibu uandaaji wa orodha ya ukubwa  kazini (Tange) kila mwaka nakuiwasilisha OR- TAMISEMI kwa wakati.
  • Kusimamia masuala  ya usafi wa mazingira ndani na nje ya ofisi za Halmashauri.      
  • Kusimamia utendaji kazi wa watendaji wa Kata na Vijiji.
  • Kuandaa taarifa za Idara za Robo, Nusu na Mwaka.
  • Kuratibu Vikao vya Menejimenti, Kamati mbalimbali na Mikutano ya Baraza la Madiwani kwa kushirikiana na Makatibu wa Kamati
  • Kuratibu masuala ya mirathi.
  • Kuandaa mpango wa mafunzo kwa kushilikiana na Wakuu wa Idara/ Vitengo.
  • Kuratibu na kusimamia masuala yote yanayohusu Utawala Bora.

   

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 14, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KADA YA DEREVA II NA MTUNZA KUMBUKUMBU II November 11, 2022
  • Majina ya walioitwa kwenye Mafunzo ya Ukarani, Tehama na Usimamizi wa Maudhui katika Sensa ya Mwaka 2022 July 26, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili wa Kazi ya Afisa Mtendaji wa Kijiji Daraja III, Katibu Muhtasi Daraja III na Dereva Daraja II July 05, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI SENGEREMA LAKOSHWA NA UKUSANYAJI WA MAPATO

    March 15, 2023
  • DC SENGEREMA AKEMEA MMOMONYOKO WA MAADILI

    March 08, 2023
  • RC MALIMA ATIMIZA AHADI YAKE KWA WANANCHI WA MAMI

    March 08, 2023
  • BUYAGU KUWA KITUO CHA MFANO KILIMO CHA PAMBA

    March 02, 2023
  • Ona vyote

Video

RC ATOA SIKU NNE WAZAZI KUPELEKA WATOTO KIDATO CHA KWANZA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.