Posted on: July 24th, 2019
Serikali imetumia zaidi ya shilingi bilioni 19 kukarabati shule kongwe 17 nchini lengo likiwa ni kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia katika shule hizo za kitaifa ambapo jukumu la uratibu ...
Posted on: July 23rd, 2019
Hadi kufikia mwaka wa fedha 2019/2020 Halmashauri ya Sengerema imeweza kutekeleza miradi mbalimbali ya maendelea kwa wananchi wake kwa kiwango cha hali ya juu.
1. Mwaka huu wa fedha 2019/20 halmash...
Posted on: May 15th, 2019
Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Mzee Mkongea Ally, ameipongeza Miradi ya Maji ambayo ni Upanuzi na ukarabati wa chazo Maji Busisi pamoja na maendelezo ya mradi wa Kisma kirefu Nyamasale.
...