• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

WATOTO ZAIDI YA 130,000 SENGEREMA KUPATIWA CHANJO YA POLIO AWAMU YA 4

Posted on: December 1st, 2022


Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema Mkoani leo imezindua rasmi kampeni siku 4 ya utoaji wa Chanjo ya matone ya Polio awamu ya nne ambapo jumla ya watoto 135,615 wenye umri chini ya miaka mitano wanatarajiwa kupatiwa chanjo hiyo.

Akizindua kampeni hiyo kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Sengerema, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya  Sengerema Binuru Shekidele amewataka wazazi na walezi wote wenye watoto walio chini ya miaka mitano kuhakikisha watoto hao wanapatiwa chanjo ya matone ya Polio katika vituo vya kutolea huduma za afya na majumbani ambapo watoa huduma watapita.

"Suala la kupatiwa chanjo ya matone ya Polio si la hiari ni la lazima, hivyo wazazi na walezi hakikisheni watoto wenu wanapatiwa chanjo hii kinyume na hapo tutawachukulia hatua kali wazazi wote watakaoshindwa kuwapeleka watoto kupata chanjo kwani takwimu zote za watoto wenye sifa za kupatiwa Chanjo hii tunazo " alisisitiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri.

Aidha Mkurugenzi Mtendaji amewashukuru wazazi na walezi wote waliojitokeza kwa ajili ya chanjo hiyo ambapo amesema kwa kufanya hivyo ni kulisaidia taifa katika kupunguza magonjwa ambayo yanaweza kuzuilika.

Naye msimamizi wa chanjo ngazi ya Mkoa Dkt. Saula Beichumila amesema chanjo hiyo ya awamu ya nne kitaifa ni mhimu sana kwa watoto kwani ndiyo hutengeneza kinga mwilini ya ugonjwa wa Polio hivyo amesisitiza wazazi na walezi kuhakikisha watoto wenye sifa wanapatiwa chanjo hiyo.

Kampeni ya Chanjo ya Polio awamu ya nne imezinduliwa kwenye kituo cha afya cha Sengerema ambapo Chanjo hii itatolewa kwenye vituo vyote vya kutole huduma za afya na majumbani. Kampeni hii itahitimishwa siku ya jumapili tarehe 04 Disemba, 2022.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO AJIRA-UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • TANAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SENGEREMA August 07, 2024
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI UANDIKISHAJI NA BVR August 08, 2024
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

    March 05, 2025
  • UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

    March 04, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.