• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mhe. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa awaonya watumishi kuacha kufanya kazi kwa mazoea alipofanya ziara katika Halmashauri ya Sengerema

Posted on: December 19th, 2017

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Seleman Said Jaffo ametoa onyo hilo alipofanya ziara katika Halmashauri ya Sengerema, alipokuwa akizungumza na wananchi katika ukumbi wa halmashauri.

Mhe.waziri ameyasema hayo mara baada ya kutembelea mradi wa Maji Buyagu, na kumwagiza mhandisi wa maji wilaya ya sengerema Ndg. Nicas Ligombi ifikapo 30 Feburuari 2018 mradi huo uwe umekwisha na yeye mwenyewe  atarudi kuja kufanya ufatiliaji huku akisema ikitokea mradi huo hautoi maji basi Mhandisi atafute mahali pa kwenda. amesema “haiwezekani mradi toka 2014 mpaka leo maji hakuna”

Huku akiwataka watumishi wote kufanya kazi kwa kuzingatia misingi na miongozo ya majukumu yao, pia kuachanan na tabia ya kufanya kazi kwa mazoea kwani kwa kufanya hivyo kunapunguza ufanisi na tija katika kuwaletea maendeleo wananchi na taifa kwa ujumla.

Pia amewaagiza watumishi wote nchini kuwa na mipango mikakati na malengo ya kujipima katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku, kwani kwa kufanya hivyo kutaongeza ufanizi katika utekelezaji wa majukumu ya kila siku na amewaomba wakuu wa idara kubadirika na kuacha kujifanya miungu mtu katika idara zao, ikiwa ni pamoja kuzingatia usawa kwa watumishi wote waliochini yao.

Huku akisisitiza upendo na amani mahala pa kazi ni jambo la mhimu hivyo viongozi wote muwe mfano katika kufanya sehemu zetu za kazi zinakuwa mahala salama ili watumishi wetu wafanye kazi wakiwa na utulivu wa akili na amani mioyoni mwao, kwa anaamini bili utulivu wa aikili nafsini ni ngumu kuwa na ufanisi katika majukumu ya kila siku.

Nae katibu Tawala wilaya ya sengerema Ndg. Agustin Allan, kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya amemshukuru Mhe. Waziri na kumwahidi kuwa watazingatia yale yote aliyowaasa na kuyafanyia.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO AJIRA-UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • TANAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SENGEREMA August 07, 2024
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI UANDIKISHAJI NA BVR August 08, 2024
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

    March 05, 2025
  • UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

    March 04, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.