• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Mwl. Kipole amekipingeza Kikundi cha Wazee kwa kujishughulisha na Ujasiliamali

Posted on: July 2nd, 2017

Mkuu wa Wilaya ya Sengerema, Emmanuel Kipole ameahidi kutafuta fedha kwa wahisani mbalimbali kwa lengo la kujenga kituo cha wazee wilayani sengerema ili kuwajengea uwezo wa kukutana na kubadilishana mawazo.

Kauli hiyo ameitoa jana alipokuwa mgeni Rasimi katika hafura iliyoandaliwa na wazee hao kwa ajili ya kumpongeza Rais John Magufuri kwa kazi anayoifanya ya kuhakisha rasilimali za nchi zinalindwa na kuwanufaisha Watanzania.

Alisema nijambo la kujivunia kwa wazee hawa kukutana na kumpongeza rais wetu kwa kazi anazozifanya kama wazee wameona na kumpongeza tunapaswa kuungajuhudi hizi kwa kuwasaidia mahitaji yao waliyomba ya kupatiwa eneo la kujenga kituo chao.

‘Mimi kama kuu wa wilaya ya Sengerema tutashirikiana na mkurugenzi kutafuta wahisani popote ili tupate milioni 200 kwa ajiri ya kuwajengea kituo wazee hawa waliounda kikundi chao kwa ajili ya kufanya shunguri zao kwa pamoja na kujipatia maendeleo’ amesema Kipole.

Nae Mwenyekiti wa umoja wa wazee kata ya Nyampulukano amesema kikundi hicho kinawanachama 102 wanawake kwa wanaume kimeanzishwa mwaka 2014 na kinausajili katika ofisi ya maendeleo ya jamii na lengo la kuanzishwa kwa kikundi hiki ni kubuni miradi ya kujipatia kipato kama wazee.

Amesema kama wazaee tulikaa na kujadili kukutana leo;jana ikiwa lengo ni kumpongeza Rais na kutoa kiliochetu kwa Mkuu wa Wilaya pamoja na Mkurugenzi kutusaidia kupata eneo la kujenga kituo chetu, ombi ambalo limekubali na hivyo watapatiwa eneo kujenga kituo kitu ambacho ni jambo la kushukuru kwa kuwa viongozi wameona ni busara kusaidia wazee hao.

Mmoja wa wazee hao Bwn. Sesilia Mchanga amesema kuwa hatuna budi kuipongeza serikali ya awamu ya tano kwa kulinda rasilimali za nchi hivyo tunapaswa kuwaombea viongozi wetu kwa juhudi hizo na sisi kama wazee tuko tayari kutoa ushirikiano wa pamoja katika swala zima la kutoa ushauri juu ya maswala yoyote ya mstakabali nchi yetu.

Mkurugenzi wa Halimashauri ya Sengerema Magesa Mafuru amesema kuwa atafanya mchakato wa kupatikana kwa kiwanja cha kujenga kituo cha wazee wilyani hapa kwa kuwa jambo hilo liko ndani ya uwezo wake.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO AJIRA-UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • TANAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SENGEREMA August 07, 2024
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI UANDIKISHAJI NA BVR August 08, 2024
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

    March 05, 2025
  • UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

    March 04, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.