• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

WATAKIWA KUSIMAMIA VYEMA VIKUNDI VYA MIKOPO YA HALMASHAURI

Posted on: October 21st, 2024

Milioni 436 Kutolewa na Halmashauri kwa vikundi


Wasimamizi wa Vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu  ngazi ya kata zilizopo Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza wameaswa kusimamia vyema vikundi vinavyopatiwa mikopo itokanayo na asilimia kumi ya mapato ya ndani ya Halmashauri ili mikopo hiyo ilete tija na kuwa na vikundi endelevu.


Wito huo umetolewa leo Oktoba 21, 2024 na Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Mhe. Senyi Ngaga wakati akifungua mafunzo ya siku mbili ya utoaji na usimamizi wa mikopo ya asilimia kwa maafisa maendeleo ya jamii kata, polisi kata na watendaji wa kata yaliyofanyika chuo cha maendeleo ya wananchi Sengerema.


Mkuu wa Wilaya amesema kumekuwa na vikundi vingi vinavyokopeshwa na Halmashauri lakini vimekuwa havifanyi vizuri kutokana na kutokuwa na usimamizi mzuri wa matumizi ya fedha, kusuasua kwenye marejesho pamoja na kutokuwa na miradi yenye uhakika hivyo amewataka wataalamu hao kwenda kusimamia vyema vikundi ili mikopo hiyo itakapoanza kutolewa iweze kuvinufaisha vikundi hivyo.


"Mimi nawaomba tuwe sehemu ya mafanikio ya vikundi hivi, Serikali inatoa fedha nyingi sana, tusiwape mikopo watu watakaotuharibia, kuweni sehemu ya mafanikio ya vikundi hivi" amesema Mkuu wa Wilaya.


Mapema akimkaribisha Mkuu wa Wilaya, kaimu Mkuu Mkurugenzi wa Halmashauri Wilbard Bandola amesema Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema kwa kipindi itatoa mikopo kwa vikundi vyenye sifa na vilivyokidhi vigezo vilivyowekwa na Serikali  hivyo amewaomba wasimamizi hao kuhakikisha wanasimamia vyema sheria na taratibu katika upatikanaji wa vikundi hivyo.


Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema baada ya kurejesha utoaji wa mikopo ya asilimia kumi itokanayo na mapato ya ndani imetenga jumla ya Shilingi 436,416,470 kwa ajili ya

kukopesha vikundi vya wananwake, vijana na watu wenye ulemavu vitakavyokidhi vigezo vya kupatiwa mikopo ambapo mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 10.11.2024.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO AJIRA-UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • TANAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SENGEREMA August 07, 2024
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI UANDIKISHAJI NA BVR August 08, 2024
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

    March 05, 2025
  • UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

    March 04, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.