• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

WASIMAMIZI WA VITUO VYA UCHAGUZI SENGEREMA WATAKIWA KUZINGATIA MIONGOZO

Posted on: November 23rd, 2024

Wasimamizi wa vituo vya kupigia kura vilivyopo Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema wameaswa kusimamia vyema zoezi la upigaji wa kura kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa utakaofanyika tarehe 27 Novemba, 2024 kwa kuzingatia miongozo na sheria ya uchaguzi ili zoezi hilo likamilike kwa amani na utulivu.


Akifungua semina kwa wasimamizi wa vituo vya kupigia kura leo Novemba 23, 2024, Msimamizi wa uchaguzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema Binuru Shekidele amewataka wasimamizi hao wa vituo kujiepusha na viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani siku ya uchaguzi kama vile matumizi ya lugha chafu kwa wapiga kura ambapo amewataka kuzingatia miongozo ya uchaguzi watakayopatiwa wakati wakati wa semina hiyo.


"Kafanyeni kazi hii kwa umakini na weledi mkubwa, tumieni miongozo mtakayopewa ili uchaguzi huu ukafanyike kwa haki na amani, naombeni tusiwe chanzo cha vurugu kwenye uchaguzi huu" amesema Msimamizi wa uchaguzi.


Msimamizi wa uchaguzi amesema iwapo wasimamizi hao watatenda haki na kuzingatia miongozo ya uchaguzi ni wazi kuwa uchaguzi huo utakuwa wa haki na amani.


Wasimamizi hao wa vituo vya uchaguzi wamekula kiapo cha utii na utunzaji wa siri mbele ya Kamishna wa viapo Mhe. Christopher Mbuba ambapo amewataka wasimamizi hao wa vituo kuheshimu viapo hivyo.


Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utafanyika tarehe 27 Novemba, 2024 ambapo kwa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema itafanya  uchaguzi kwenye jumla ya vijiji 71 na vitongoji 421 ambapo jumla ya wapiga kura 209,635 walioandikishwa wanatarajiwa kushiriki uchaguzi huo

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA МКАТАBA WAKUSANYA МАРАТО September 04, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • TAARIFA YA FEDHA YA HESABU ZA MWISHO HALMASHAURI YA WILAYA SENGEREMA KWA MWAKA ULIOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024 August 06, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MAKUBALIANO YA NYONGEZA KATI YA SERIKALI NA KAMPUNI YA NYANZAGA MINING COMPANY LIMITED KWA AJILI YA UCHIMBAJI MKUBWA WA MADINI YA DHAHABU

    August 20, 2025
  • MAADHIMISHO YA KILELE CHA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA HALMASHAURI YA WILAYA YA SENGEREMA

    August 20, 2025
  • MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA HALMASHAURI YA WILAYA YA SENGEREMA

    August 04, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKIZI YA MAUAJI YA WATU WENYE UALBINO

    July 29, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.