• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

WANANCHI SENGEREMA WATAKAKIWA KUTHAMINI MIRADI YA YA MAENDELEO

Posted on: March 24th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Mhe. Senyi Ngaga amewataka wananchi na kamati inayosimamia ujenzi wa kituo cha Afya Kanyelele kilichopo kata ya Buzilasoga kuhakikisha wanasimamia vyema ukamilishaji wa kituo hicho ili kiweze kukamilika kwa ubora wa hali ya juu.


Akikagua maendeleo ya Ujenzi wa Kituo hicho leo ijumaa Machi 24, 2023, Mkuu wa Wilaya ameitaka kamati inayosimamia ujenzi huo kuhakikisha wanauthamini mradi huo na mingine inayoendelea kujengwa na Serikali katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri kwani kwa kufanya hivyo watakuwa wameisaidia Serikali ambayo imekuwa ikileta fedha nyingi za miradi ya maendeleo pasipo kuchangisha fedha kutoka kwa wananchi.


"Huu ni mradi wenu, simamieni vizuri, kituo hiki tunategemea kidumu kwa muda mrefu, na ninyi ndiyo watumiaji mkiona mambo hayaendi vizuri toeni taarifa" amesisitiza Mkuu wa Wilaya.


Mratibu wa TASAF wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema ndugu Malisa Ndugha amesema ujenzi wa kituo hicho kwa sasa umefikia asilimia 95 kwa majengo ya OPD, wodi ya mama  na watoto na Maabara ambapo pia amesema ujenzi unaoendelea ni wa  Mochwari na nyumba ya mtumishi.


Kituo hicho cha afya kinajengwa kwa fedha za Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)  na wananchi kwa zaidi ya shilingi Milioni 543 na kitakapokamilika kinatarajiwa kuhudumia zaidi ya wananchi 1852 wa kata hiyo na maeneo ya jirani.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 14, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KADA YA DEREVA II NA MTUNZA KUMBUKUMBU II November 11, 2022
  • Majina ya walioitwa kwenye Mafunzo ya Ukarani, Tehama na Usimamizi wa Maudhui katika Sensa ya Mwaka 2022 July 26, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili wa Kazi ya Afisa Mtendaji wa Kijiji Daraja III, Katibu Muhtasi Daraja III na Dereva Daraja II July 05, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA AWATAKA WATENDAJI SERIKALINI KUSHIRIKIANA NA VIONGOZI WA KISIASA

    June 05, 2023
  • JAMII YAASWA KUTIMIZA WAJIBU KUKABILIANA NA MMOMOMONYOKO WA MAADILI

    May 15, 2023
  • BOOST YAANZA KWA KISHINDO SENGEREMA

    May 13, 2023
  • KAMATI YA FEDHA YAKAGUA MIRADI

    May 04, 2023
  • Ona vyote

Video

RC ATOA SIKU NNE WAZAZI KUPELEKA WATOTO KIDATO CHA KWANZA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.