• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

Posted on: March 4th, 2025

Katika kuelekea kwenye kilele cha maadhimisho ya siki ya wanawake duniani tarehe 8 Machi, 2025, umoja wa wanawake wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, leo Machi 3, 2025 wametoa misaada na zawadi mbalimbali kwa watoto wenye mahitaji pamoja na wagonjwa katika hospitali Teule ya Wilaya ya Sengerema (DDH).


Akiongea wakati wa kukabidhi zawadi na misaada hiyo, mwenyekiti wa umoja huo Darling Matonange amewashukuru wanawake wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema kwa moyo wa kujitolea kwa kuwakumbuka watoto wenye mahitaji kwenye kituo cha Busitani C pamoja na wagonjwa  katika hospitali teule ya Sengerema.


"Tumekuja hapa kwa sababu sisi ni kina mama ambao tunaguswa sana na malezi ya watoto, wakina mama tunayo nafasi kubwa  kwenye malezi huko majumbani, hivyo tunaguswa kufanya matendo ya huruma kwa hawa watoto wetu" amesema Bibi Matonange.


Kwa upande wake Mganga mfawidhi wa hospitali hiyo Meriejose amewashukuru wanawake hao ambao wamejitokeza kutoa misaada mbalimbali ambao amesema katika kituo cha Bustani C wanao watoto ambao ni yatima, watoto wanaosubiri matibabu pamoja na wenye changamoto za ukatili majumbani.


Misaada na zawadi iliyotolewa ni pamoja na vyakula kwenye na mafuta ya kupikia, mahitaji ya shule vinywaji, ungalishe na mafuta ya kupaka.


Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani hufanyika kila mwaka tarehe 8 Machi ambapo kiwilaya maadhimisho hayo yatafanyika tarehe 5 Machi, 2025 na kaulimbiu ya maadhimisho hayo ni *Wanawake na Wasichana 2025: Tuimarishe Haki, Usawa na Uwezeshaji”*

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA МКАТАBA WAKUSANYA МАРАТО September 04, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • TAARIFA YA FEDHA YA HESABU ZA MWISHO HALMASHAURI YA WILAYA SENGEREMA KWA MWAKA ULIOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024 August 06, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MAKUBALIANO YA NYONGEZA KATI YA SERIKALI NA KAMPUNI YA NYANZAGA MINING COMPANY LIMITED KWA AJILI YA UCHIMBAJI MKUBWA WA MADINI YA DHAHABU

    August 20, 2025
  • MAADHIMISHO YA KILELE CHA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA HALMASHAURI YA WILAYA YA SENGEREMA

    August 20, 2025
  • MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA HALMASHAURI YA WILAYA YA SENGEREMA

    August 04, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKIZI YA MAUAJI YA WATU WENYE UALBINO

    July 29, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.