• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Ujenzi wa Kituo cha Afya Kagunga katika Halmashauri ya wilaya ya Sengerema unaendelea vizuri

Posted on: April 5th, 2018

Halimashauri ya Sengerema katika kutekeleza mradi wa upanuzi wa Kituo cha Afya cha Kagunga unazidi kuimarika baada ya kuwa na sifa nzuri kila viongozi mbalimbali wanapotembelea kituo hicho kwa lengo la kujionea maendeleo ya mradi huo ambao mpaka sasa nyumba ya mtumishi ipo kwenye hatua ya umaliziaji huku majengo mengine yakiwa katika hatua mbalimbali za ujenzi. Ikiwa ni jitihada za usimamizi mzuri wa Halmashauri ya wilaya ya Sengerema  katika kuhakikisha mradi huo unakamilika kwa wakati na kwa viwango vinavyotakiwa ili wananchi waweze kupata huduma bora za afya katika maeneo yao.

Serikali imetoa kiasi cha sh.milion 400 kwa ajiri ya upanuzi wa kituo hicho kwa lengo la kusogeza huduma kwa wananchi hasa wa hali ya chini ambao walikuwa wakipoteza maisha kutokana na kukoswa huduma ya upasuaji karibu, majengo yanayojengwa katika kituo hicho ni Chumba cha upasuaji, chumba cha kuwekea maiti, jengo la mama na motto, maabara, wodi ya wanaume na watoto pamoja na jengo la wagonjwa wa nje.

Nae Mkurugenzi mtendaji halimashauri ya Sengerema Bwn. Magesa mafuru alisema kuwa atasimamia vema miradi yote ya maendeleo katika halmashauri yake na wala asitokee mtu yoyote kujidanganya kukwamisha mradi wowote anajisumbua.

Huku Mgaga mkuu wa Halimashauri ya Sengerema Bwn. Peter Mahu alisema wako macho katika matumizi ya fedha  nawatahakikisha hakuna kitu kinachopotea na majengo haya yatajengwa kwa ubora wa hali ya juu kwa kuwa kunausimamizi mzuri.

Mmoja wa wananchi wa kata ya Kagunga Juma Malima alisema kuwa kutokana na upanuzi huu utawasaidia kuokoa maisha yao ambayo walikuwa wakiyapoteza kutokana na kukoswa huduma mhimu hasa upasuaji na kupata vipomo sahii vya maabara na kutoa pongezi kwa serikali.

Matangazo ya Kawaida

  • TAARIFA YA FEDHA YA HESABU ZA MWISHO HALMASHAURI YA WILAYA SENGEREMA KWA MWAKA ULIOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024 August 06, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI MBALIMBALI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA SENGEREMA July 29, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MAKUBALIANO YA NYONGEZA KATI YA SERIKALI NA KAMPUNI YA NYANZAGA MINING COMPANY LIMITED KWA AJILI YA UCHIMBAJI MKUBWA WA MADINI YA DHAHABU

    August 20, 2025
  • MAADHIMISHO YA KILELE CHA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA HALMASHAURI YA WILAYA YA SENGEREMA

    August 20, 2025
  • MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA HALMASHAURI YA WILAYA YA SENGEREMA

    August 04, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKIZI YA MAUAJI YA WATU WENYE UALBINO

    July 29, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.