• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

TANESCO YAPANDA MITI KANDOKANDO YA BARABARA KUU MJINI SENGEREMA

Posted on: May 31st, 2024

Shirika la Ugavi wa Umeme nchini (TANESCO) Wilaya ya Sengerema  kwa kushirikiana na ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema leo (31.05.2024) wamepanda miti ya kivuli aina ya Midodoma mjini Sengerema kandokando ya barabara kuu ya Sengerema-Geita ikiwa ni sehemu ya kurejesha miti iliyokatwa kimaokosa mwezi April 2024.

Akiongea wakati wa zoezi hilo, Meneja wa TANESCO Wilaya ya Sengerema, Martin Kilenga amesema wameamua kupanda miti hiyo kutokana na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi pamoja viongozi wa Wilaya hivyo wameona ni vyema kupanda miti hiyo na kuahidi kuitunza kwa siku zote kwa kushirikiana na wafanyabishara.


"Sisi kama TANESCO tunajali sana mazingira, na hii miti ndo vyanzo vya kuhifadhi mazingira yetu, na inaleta maji ambayo yatakwenda kwenye mabwawa na ndo tunapata umeme huu tunaoutumia" amesema meneja wa TANESCO.

Kwa upande wake Mkuu wa idara ya Mazingira wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Ally Salim amesema miti iliyokatwa tayari ilianza kuleta vivuli pembezoni mwa barabara kuu hivyo wameona ni vyema kupanda tena miti mingine ili kurudishia vivuli vilivyopotea na amesema wanapanda miti aina ya Midodoma ambayo ni stahimilivu na inakuwa kwa haraka ambapo amewaomba wafanyabiashara na wajasiriliamali wanaofanya biashara zao pembezoni mwa barabara kuhakikisha wanaitunza vizuri miti liyokatwa na baade kuchipuka tena kwani watanufaika zaidi na miti hiyo.

Baadhi ya wananchi walioshuhudia zoezi hilo wamesema wamefurahi kuona TANESCO wamechukua hatua ya kupanda tena miti hiyo ambapo wamesema kitendo hicho ni cha kiungwana na wameahidi kuilinda kwani tayari walishaona manufaa ya kuwa na miti kandokando ya barabara kuu.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO AJIRA-UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • TANAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SENGEREMA August 07, 2024
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI UANDIKISHAJI NA BVR August 08, 2024
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

    March 05, 2025
  • UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

    March 04, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.