• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

SIMA YAONGOZA HUDUMA BORA ZA CHANJO KWA NJIA YA MKOBA

Posted on: August 14th, 2023

Zahanati ya Sima iliyopo kata ya Sima Wilayani Sengerema imeongoza kwenye zoezi la utoaji wa chanjo kwa njia ya Mkoba (outreach services) kikiwa ni miongoni mwa vituo vilivyofanyiwa usimamizi shirikishi na timu ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI na wizara ya afya kwa kipindi cha Januari hadi Julai 2023.


Mbali na utoaji wa Chanjo kwa njia ya Mkoba, Zahanati hiyo pia imeongoza kwa utunzaji wa nyaraka za kituo pamoja na ukamilishaji wa huduma za Mkoba kama zilivyopangwa kwenye ratiba ya kila mwezi.


Akitoa pongezi hizo leo Jumatatu Agosti 14, 2023 kituoni hapo,  Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema Dkt. Fredrick Mugarula amepongeza uongozi wa Zahati hiyo kwa kufanya vizuri katika utoaji wa huduma hizo za afya umakini na kuwataka watumishi wa kituo hicho kuendeleza jitihada hizo bila kuchoka.


"Zahanati hii mmefanya vizuri, ni vizuri na sisi tuwape pongezi kama Halmashauri ili iwe kumbukumbu yenu, tunatambua vyema jitihada zenu" alisema Mganga mkuu wakati akikabidhi cheti cha pongezi kituoni hapo.


Akitoa shukrani kwa niaba ya ya watumishi wa Zahanati hiyo, Mganga mfawidhi wa Zahanati hiyo Amos Bombot amesema Zahati ya Sima imefanya vizuri kwenye huduma za Chanjo kutokana na kupeleka huduma za Chanjo moja kwa moja kwa walengwa ambapo wamekuwa wakifika katika ngazi ya vitongoji pasipo kuwasubiri walengwa kufika kituoni hapo ambapo amesema huduma hizo zimekuwa zikitolewa kwa ushirikiano mkubwa uliopo baina ya watumishi na viongozi wa serikali za vijiji vya Ishishang'olo na Sima.


Mratibu wa Chanjo wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema Bi. Mageni Magesa amesema Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema ina vituo 48 vya kutolea huduma za Chanjo ambavyo vyote vimekuwa vikitoa huduma bora za Chanjo kwa njia ya Mkobaa na kwa wakati.

Matangazo ya Kawaida

  • TAARIFA YA FEDHA YA HESABU ZA MWISHO HALMASHAURI YA WILAYA SENGEREMA KWA MWAKA ULIOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024 August 06, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI MBALIMBALI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA SENGEREMA July 29, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MAKUBALIANO YA NYONGEZA KATI YA SERIKALI NA KAMPUNI YA NYANZAGA MINING COMPANY LIMITED KWA AJILI YA UCHIMBAJI MKUBWA WA MADINI YA DHAHABU

    August 20, 2025
  • MAADHIMISHO YA KILELE CHA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA HALMASHAURI YA WILAYA YA SENGEREMA

    August 20, 2025
  • MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA HALMASHAURI YA WILAYA YA SENGEREMA

    August 04, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKIZI YA MAUAJI YA WATU WENYE UALBINO

    July 29, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.