• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

SHULE ZA SEKONDARI SENGEREMA WATAKIWA KUSHIRIKIANA

Posted on: December 8th, 2022


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya  Sengerema Binuru Shekidele amezitaka shule za Sekondari zilizopo Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema kuhakikisha zinashirikiana katika kutatua changamoto mbalimbali ya kitaaluma kujifunza kutoka kwa shule zinazofanya vizuri ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema.

Mkurugenzi Mtendaji ameyasema hayo wakati wa hafla ya kupokea matokeo ya mtihani wa kumaliza nwaka 2022 kwa kidato cha kwanza na cha tatu kwa shule za Sekondari zilizopo Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema mtihani ambao umekuwa ukifanyika kila mwaka na kusimamiwa kwa Umoja wa Wakuu wa Shule (TAHOSA).

Mkurugenzi Mtendaji amesema kuna baadhi ya shule katika Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema imekuwa zikifanya vizuri kitaaluma na zingine zimekuwa zikifanya vibaya kila mwaka hivyo amewaagiza wakuu hao wa shule kuweka mipango mizuri ili kuondokana na matokeo mabaya kwa wanafunzi.

"Tuone namna nzuri ya kusaidiana kwenye baadhi ya masomo, kwanini shule zinazofanya vizuri ni zilezile na zinazifanya vibaya pia ni zilezile,  tuchukue hatua tubadilke tunaweza na zile shule zinazofanya vibaya tutaziweka kwenye uangalizi maalumu"

Mwenyekiti wa kamati ya taaluma ya TAHOSA Mwalimu Christine Zegera akiwasilisha matokeo hayo amesema miongoni mwa changamoto zilizojitokeza katika kufanikisha mtihani huo ni pamoja na gharama ndogo za uendeshaji wa mtihani huo ukilinganisha na hali halisi ya gharama za maisha kwa sasa ambapo kumesababisha kamati ya maandalizi kushindwa kukidhi mahitaji ya huduma kwa walimu hasa kwa wale wanaotoka mbali na vituo vya kazi kupata chakula na malazi.

Mwenyekiti huyo amependekeza kwa mwaka ujao kila mtahiniwa achangiwe kiasi cha shilingi 5500 ili kukidhi gharama za uendeshaji wa mitihani hiyo.

Kaimu Mkuu wa Idara ya Sekondari Amani  Tangalo amesema kufanyika kwa mtihani huo inasaidia Halmashauri kuweza kujua ni maeneo yapi yawekewe mkazo zaidi na walimu na pia husaidia kupata picha halisi ya matokeo ya kidato cha pili na nne kwa mwaka unaofuata hivyo amewataka wakuu wa shule kuhakikisha wanakuwa na mikakati thabiti ili kuboresha taaluma katika shule husika.

Mtihani huo wa pamoja hufanyika kila mwaka ambapo hushirikisha kidato cha kwanza na cha tatu. Kwa mwaka huu  jumla ya shule za Sekondari 40 zineshiriki katika mtihani huo kwa kidato cha kwanza na shule 38 zilishiriki kwa mtihani wa kidato cha tatu.

Katika matokeo hayo Seminari ya Sengerema Imeongoza katika shule 40 kwa kidato cha kwanza kwa kupata wastani wa  alama 69.9 na  shule ya Twitange imeongoza kwa kidato cha tatu katika shule 38 kwa kupata wastani wa

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO AJIRA-UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • TANAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SENGEREMA August 07, 2024
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI UANDIKISHAJI NA BVR August 08, 2024
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

    March 05, 2025
  • UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

    March 04, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.