• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

SENGEREMA YAZINDUA CHANJO YA SURUA NA RUBELLA

Posted on: February 15th, 2024

Uhamasisha nyumba kwa nyumba kufanyika


Tahadhali ya Kipindupindu Yatolewa


Halmashauri ya Wilaya Sengerema leo Februari 15, 2024 imezindua rasmi kampeni ya Chanjo ya Surua  na Rubella inayotarajiwa kufanyika kwa muda wa siku nne kuanzia Februari 15, 2024.


Akiongea wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Binuru Shekidele kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Sengerema amesema katika kampeni hiyo ya Chanjo ni lazima walengwa wote 98,118 waweze kufikiwa hivyo amewaomba wazazi na walezi wenye watoto wenye umri chini ya miaka mitano kuhakikisha wanapeleka watoto kwenye vituo vya kutolea huduma za afya kwa ajili ya Chanjo ya Surua na Rubellla.


Amesema kutokana na mwitikio mdogo katika kampeni za chanjo mbalimbali kumekuwa na madhara mengi ikiwemo gharama za matibabu kwa mtu mmoja mmoja pamoja na Serikali kuwekeza gharama kubwa kwenye matibabu badala ya kutekeleza miradi mingine ya maendeleo.


"Chanjo hii inatolewa bure kabisa, niwaombe kila mmoja wenu ahakikishe anapeleka watoto kupata chanjo, usipopata Chanjo utasababisha magonjwa mengi na utaingia gharama kubwa kutibu magonjwa hayo hayo ambayo yangekingwa na Chanjo hii" amesema Mkurugenzj Mtendaji.


Mganga mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema Dkt. Fredrick Mugarula amesema nchi zilizoendelea zimepiga hatua kimaendeleo kutokana na  matumizi sahihi ya Chanjo hivyo kwa nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania hatuna budi kuhakikisha  Chanjo hizi zinapewa kipaumbele na jamii nzima ili kujikinga na magonjwa mbalimbali pamoja na kuwa na kizazi chenye afya bora.


Mratibu wa Chanjo wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema Bi. Mageni Magesa amesema Halmashauri imepokea jumla ya Chanjo 100,850 ambazo zitatumika kwenye vituo 95 vikiwemo vile kutolea huduma za afya 48 na vituo  vya muda 47.


Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Tunyeye, Raymond Sau akiongea katika hafla ya uzinduzi wa kampeni hiyo amewataka wananchi wa kijiji hicho kuhakikisha wanajitokeza kupeleka walengwa wote kupatiwa Chanjo hiyo ambapo amesema yeye kwa kushirikiana na wajumbe wa Serikali ya Kijiji watafanya msako wa nyumba kwa nyumba kuhakikisha walengwa wote wanapatiwa Chanjo hiyo.


Kampeni ya Chanjo ya Surua na Rubella itafanyika nchi nzima kuanzia tarehe 15 hadi 18, Februari 2024 ambapo walengwa ni watoto wenye umri chininya miaka mitano.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA МКАТАBA WAKUSANYA МАРАТО September 04, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • TAARIFA YA FEDHA YA HESABU ZA MWISHO HALMASHAURI YA WILAYA SENGEREMA KWA MWAKA ULIOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024 August 06, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MAKUBALIANO YA NYONGEZA KATI YA SERIKALI NA KAMPUNI YA NYANZAGA MINING COMPANY LIMITED KWA AJILI YA UCHIMBAJI MKUBWA WA MADINI YA DHAHABU

    August 20, 2025
  • MAADHIMISHO YA KILELE CHA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA HALMASHAURI YA WILAYA YA SENGEREMA

    August 20, 2025
  • MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA HALMASHAURI YA WILAYA YA SENGEREMA

    August 04, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKIZI YA MAUAJI YA WATU WENYE UALBINO

    July 29, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.