• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

SENGEREMA YAADHIMISHA UHURU KWA KUFANYA USAFI NA KUPANDA MITI

Posted on: December 9th, 2024


Halmashauri ya Sengerema mkoani Mwanza imeadhimisha sehere za  miaka 63 ya uhuru wa Tanzania bara kwa kupanda miti na kufanya usafi kwenye hospitali ya Wilaya Mwabaluhi na Kituo cha Afya Sengerema.


Akiongoza zoezi la upandaji miti 500 katika eneo la shule mpya ya Sekondari Isungang’holo,  Katibu Tawala wilaya ya Sengerema Curthbert Midala, amewataka wananchi kujenga utamaduni wa kupanda miti katika maeneo yao kwani kupanda miti kuna faida nyingi ikiwemo kutunza mazingira pamoja na matunda.


"upandaji wa miti una faida nyingi sana, ikiwemo kivuli, mbao, upatikanaji wa matunda.., zoezi hili ni la mhimu kweli na kila mmoja aone kuwa anao wajibu wa kuitunza" amesema Katibu Tawala Wilaya.


Kwa upande wake Afisa mazingira Halmashauri ya Sengerema Bi.Tandy Laizer amesema jumla ya miti 500 imepandwa katika eneo la ujenzi wa shule ya Sekondari isungang’holo ikiwemo miti ya matunda, mbao na vivulli.


Kaimu mkurugenzi Halmashauri ya Sengerema , Wilbard Bandola amewashukuru wananchi kujitokeza kuazimisha miaka 63 ya uhuru kwa kupanda miti eneo hilo hivyo amewaomba wananchi wanaoishi karibu na eneo hilo kuhakikisha wanailinda.


Mwenyekiti wa Kitongoji cha Isungang’holo, Michael Sumuni pamoja na wananchi wamewashukuru viongozi wa halmashauri ya Sengerema kwa kuamua kufanyia maadhimisho hayo katika eneo la shule mpya pamoja na kupanda miti hiyo ambapo wameahidi kuitunza.


Miti iliyopandwa leo imetolewa na wakala wa huduma za misitu Tanzaniaa (TFS) wilaya ya Sengerema lengo ikiwa ni uhifandhi wa mazingira kwa njia ya kupanda miti.


Maadhimisho ya miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara kwa mwaka 2024 yameadhimishwa kwa kufanya shughuli za kijamii ikiwemo usafi na upandaji wa miti. Kaulimbiu ya maadhimisho hayo ni Uongozi Madhubuti na Ushirikishwaji Wananchi ni Msingi wa Maendeleo Yetu.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO AJIRA-UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • TANAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SENGEREMA August 07, 2024
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI UANDIKISHAJI NA BVR August 08, 2024
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

    March 05, 2025
  • UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

    March 04, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.