• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

Posted on: March 5th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema imeadhimisha ya siku ya wanawake duniani huku ikitoa mikopo ya shilingi  milioni 362 kwa vikindi 111 vya wa wanawake, vijana na wenye ulemavu.


Mkuu wa Wilaya ya Sengerema mhe. Senyi Ngaga ameipongeza Halmashauri ya Sengerema kwa kutoa kiasi kikubwa cha fedha kwa mara ya kwanza kwa vikundi hivyo ambapo amewataka wanufaika wa mikopo hiyo kurejesha fedha hizo ili ziweze kunufaisha vikundi vingine.


"Miaka yote Halmashauri imekuwa ikitoa mikopo milioni mia, mia na kitu, lakini kwa mara ya kwanza leo zinatolewa milioni 362, tumpongeza Mhe. Dkt. Samia kwa kuamua kuweka utaratibu mzuri wa mikopo hii ambao leo tunaona matunda yake" amesema Mkuu wa Wilaya.


Kwa upande mwingine Mkuu wa Wilaya ya Sengerema ameipongeza Serikali ya awamu ya sita kwa kutoa fedha nyingi za miradi ya maendeleo wilayani Sengerema hususan kwa wananchi wa vijijini ambapo katika Halmashauri ya wilaya ya Sengerema pekee kwa mwaka 2025 inafungua shule mpya 15 za Sekondari ikiwemo shule mpya ya ufundi ya Tabaruka sambamba na kuongezeka ufaulu kwa matokeo ya kidato cha nne mwaka 2024 ambao umetokana na uwepo wa miundombinu mizuri kwenye shule hizo pamoja na uwepo wa walimu wa kutosha.


Mwenyekiti wa umoja wa wanawake wajasiriamali wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema Bibi. Darling Matonange ameushukuru uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema kwa kutoa mikopo hiyo kwa makundi hayo ambapo imeweza kuwasaidia kujikomboa kiuchumi ambapo ameomba kuongeza kiasi cha fedha ili vikundi vingi viweze kunufaika na mikopo hiyo isiyokuwa na riba.


Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri, Ally Salim amesema mikopo hiyo imetolewa kwa vikundi hivyo ambavyo vimekidhi vigezo hivyo ameviomba vikundi vingine vyenye sifa kuendekelea kuomba mikopo hiyo isiyokuwa na riba.


Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani hufanyika kila mwaka tarehe 8 Machi, kwa Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema yamefanyika tarehe 5 Machi kwenye viwanja vya stendi ya zamani ambapo kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni; *Wanawake na Wasichana 2025: Tuimarishe Haki, Usawa na Uwezeshaji*

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA МКАТАBA WAKUSANYA МАРАТО September 04, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • TAARIFA YA FEDHA YA HESABU ZA MWISHO HALMASHAURI YA WILAYA SENGEREMA KWA MWAKA ULIOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024 August 06, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MAKUBALIANO YA NYONGEZA KATI YA SERIKALI NA KAMPUNI YA NYANZAGA MINING COMPANY LIMITED KWA AJILI YA UCHIMBAJI MKUBWA WA MADINI YA DHAHABU

    August 20, 2025
  • MAADHIMISHO YA KILELE CHA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA HALMASHAURI YA WILAYA YA SENGEREMA

    August 20, 2025
  • MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA HALMASHAURI YA WILAYA YA SENGEREMA

    August 04, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKIZI YA MAUAJI YA WATU WENYE UALBINO

    July 29, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.