• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

SEKONDARI ZA KIJUKA NA KATUNGURU ZAPONGEZWA KUPANDISHA UFAULU

Posted on: October 2nd, 2024

Shule za Sekondari za Kijuka na Katuguru zilizopo Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza zimepongezwa kwa kufanya vizuri kwenye mtihani wa kitaifa wa kidato cha nne 2023 ambapo.


Akitoa pongezi hizo leo Oktoba 1, 2024 mkuu wa Divisheni ya Elimu Sekondari Bi. Genoveva Chuchuba amesema pongezi hizo zimetolewa kufuatia tuzo zilizotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda  ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema ilifanikiwa kupata tuzo kadhaa ikiwemo ya mshindi wa pili miongoni mwa Halmashauri nane za mkoa wa Mwanza kwenye matokeo ya kidato cha nne 2023.


"Nimekuja kuwapongeza, matokeo haya yamekuja kutokana na jitihada zenu, ushirikiano wenu na juhudi za kila mmoja wenu" amesema Bi. Chuchuba.


Katika tuzo hizo ya shule ya Sekondari Kijuka imepata cheti cha pongezi kuyoka kutoka kwa Mkuu wa Mkoa kutokana na maendeleo chanya ya kitaaluma ya shule kwa miaka miwili mfulukizo ambapo imefanikiwa kupandisha ufaulu kwenye matokeo ya kidato cha nne 2023.


Sekondari ya Katunguru ambayo imekuwa ikifanya vizuri kitaaluma kwenye matokeo ya kidato cha nne kwa miaka mitatu mfululizo na kufanikiwa kuwa miongoni mwa shule kumi bora kwa mkoa wa Mwanza.


Katika tuzo zilizotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza hivi karibuni, Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema kupitia divisheni ya Elimu Sekondari ilifanikiwa kupata jumla ya tuzo 4, ikiwemo ya mshindi wa tatu kwenye mtihani wa kidato 2023, mshindi wa tatu kwenye mtihani wa kidato cha 2023, mshindi wa tatu kwa mtihani wa kidato vha sita 2023 na tuzo ya Halmashauri bora iliyofanikiwa kupandisha ufaulu zaidi katika matokeo ya kidato cha nne 2023.


Katika tuzo hizo walimu wawili wa masomo ya Kemia na Kiingereza kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema waliibuka walimu bora na kupewa zawadi ya fedha.


Wakishukuru kwa pongezi hizo Mkuu wa Sekondari ya Kijuka Mwalimu Patrick Juvenali na Mkuu wa Sekondari ya Katunguru Mwalimu Baraka Msimba wameushukuru uongozi wa Halmshauri kwa pongezi pamoja na zawadi ya keki wakisema kuwa kitendo hicho kimewapa moyo na  kinaenda kuwa kichocheo cha wao kufanya vizuri zaidi kwenye mitihani ya kitaifa.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO AJIRA-UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • TANAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SENGEREMA August 07, 2024
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI UANDIKISHAJI NA BVR August 08, 2024
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

    March 05, 2025
  • UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

    March 04, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.