• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA AANDAA MKAKATI KAMAMBE WA KUTATUA KERO ZA WANANCHI

Posted on: September 11th, 2023

Asema siku ya Septemba 18 kuwa Siku ya Uzinduzi wa kusikliza kero za wananchi


Aipongeza Serikali ya Rais Samia kuleta miradi mingi ya maendeleo Mwanza


Aunda kikosi kazi maalum cha kupokea taarifa za migogoro ya ardhi


Awataka Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi kuitangaza miradi ya maendeleo kwa wananchi


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.CPA. Amos Makalla ametangaza mkakati kamambe wa kutatua kero za wananchi Mkoani humo kwa kuwashirikisha Wakuu wa Wilaya,Wakurugenzi wa Halmashauri na Makatibu Tawala wa Wilaya.


Akizungumza leo kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa katika kikao kazi na viongozi hao, Mhe. Makalla amesema atafanya uzinduzi huo Septemba 18 mwaka huu na kuwaagiza Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri,Makatibu Tawala wa Wilaya wahudhurie ili wapate mwongozo mzuri watakapokwenda kushughulika na kero za wananchi.


Mkuu huyo wa Mkoa amesema utaratibu huo ameufanya kwenye mikoa yote aliyofanya kazi hivyo anaamini utaratibu huo kwa Mkoani Mwanza utakuwa na tija kwa Serikali kuwa karibu zaidi na wananchi.


"Nawaagiza viongozi wenzangu mara baada ya uzinduzi huo wa kusikiliza kero za wananchi,muende sehemu zenu za kazi na kuweka mpango kazi wa kuwatembelea wananchi kila kata na baadaye ziwasilishwe kwenye Halmashauri kwa kufanyiwa kazi",amesisitiza CPA Makalla.


Amesema manufaa ya kusikiliza kero hizo zinawapunguzia mzigo wananchi yakiwemo mashauri yaliyopo mahakamani yanayohusu migogoro ya ardhi na mengineyo na kusisitiza utaribu huo usiishie kusikiliza tu bali pia kutoa majibu, kushauri na mwelekeo wa jambo husika.


Amewaagiza pia watumishi wa Idara za ardhi kwenye Halmashauri waweke utaratibu wa kuwahudumia wananchi hasa migogoro ya ardhi na mipaka.


"Nimeunda kikosi kazi maalum ambacho kitapita kwenye Halmashauri zote kupata taarifa za migogoro ya ardhi niwaombe viongozi wote mtoe ushirikiano kwa kiosi kazi hiki",CPA Makalla


Ameongeza kuwa Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi waunde timu ya pamoja na kuitangaza bayana miradi yote ya maendeleo kwa wananchi na kusikiliza changamoto na muendelezo wa miradi hiyo na shule zote na hospitali ziwe na mipaka ili kuepuka kuingiliwa.


Mkuu huyo wa Mkoa amesisitiza Mkoa wa Mwanza bila kero za wananchi inawezekana na kazi hiyo ikifanyika kikamilifu itaondoa malalamiko kwa viongozi wa Kitaifa wanapofanya ziara.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO AJIRA-UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • TANAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SENGEREMA August 07, 2024
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI UANDIKISHAJI NA BVR August 08, 2024
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

    March 05, 2025
  • UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

    March 04, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.