• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

PEPMIS NA PIPMIS KUONGEZA UWAJIBIKAJI KWA WATUMISHI WA UMMA

Posted on: December 7th, 2023

Kuanzishwa kwa mfumo mpya wa Usimamizi na Utendaji kazi katika utumishi wa Umma PEPMIS *(Public Employee Performance Management Information Sysytem)* na PIPMIS *(Public Institutions Management Information Sysytem)* utasaidia kuongeza uwajibikaji kwa watumishi wa Umma pamoja na kuondoa hisia za upendeleo na uonevu katika tathimini ya utendaji kazi uliokuwa katika mifumo ya awali ya OPRAS na IPCS.


Hayo yamebainishwa leo Disemba 07, 2023 wakati wa mafunzo ya mfumo huo  kwa watumishi Umma  wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema  yaliyoandaliwa na Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora.


Akitoa Mafunzo hayo Afisa Utumishi kutoka Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora Ndugu Rwechungura Mtalemwa amesema kuanzishwa kwa mfumo wa PEPMIS na PIPMIS kutasaidia kondoa changamoto mbalimbali zilizojitokeza katika mifumo ya OPRAS na IPCS iliyokuwa ikitumika hapo awali hivyo amewataka watumishi wa umma kuulewa vizuri mfumo huo.


Ndugu Mtalemwa ameongeza kusema kuwa mifumo hiyo ya awali haikuakisi hali halisi ya utendaji kazi wa watumishi ambayo ilihusishwa na upendeleo au uonevu kwa baadhi ya watumishi na viongozi katika baadhi ya taasisi.


"Mifumo hii haikuwa na uwezo wa kutoa taarifa za utendaji kazi wa watumishi na taasisi kwa siku, wiki au mwezi lakini pia haikuweza kupima uwajibikaji na uwajibishaji watumishi na taasisi za umma lakini mfumo mpya unaweza na umezingatia na utapima uwajibikaji wetu" ameongeza kusema Ndugu Mtalemwa.


Akifungua mafunzo hayo, kwa niaba ya Mkurugenzj Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Ndugu Wilbard Bandola mewataka watumishi wa umma kuzingatia mafunzo hayo na badae waweze kutoa elimu kwa watumishi wengiwe waliopo chini yao.


Mkuu wa Idara ya Utumishi  na Utawala, Christina Bunini amesema kupitia mfumo huo watumishi wa Umma sasa watapimwa utendaji kazi kupitia mfumo huo hivyo amewataka watumishi hao kuzingatia vyema mafunzo hayo ili badae waweze kuingiza taarifa za utendaji wao kwa usahihi sambamba na kutoa elimu kwa watumishi wengine.


Mfumo mpya wa Usimamizi na Utendaji kazi katika utumishi wa Umma umesanifiwa ili kutatua chamgamoto za mifumo ya OPRAS na IPCS ambayo imesitishwa mwaka 2022 na utatumika katika taasisi zote za Serikali.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO AJIRA-UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • TANAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SENGEREMA August 07, 2024
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI UANDIKISHAJI NA BVR August 08, 2024
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

    March 05, 2025
  • UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

    March 04, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.