• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Naibu Waziri wa Afya atembelea Zahanati ya Nyamizeze wilayani Sengerema

Posted on: July 18th, 2018

Mhe Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto atembelea Zahanati ya Nyamizeze wilayani Sengerema kwa lengo la kujiridhisha na uhalali wake baada ya kupata Nyota Nne katika mpango wa lipa kwa ufanisi katika mkoa wa Mwanza (P4R) na kutoa cheti alipofanya ziara yake ya kikazi Julai 17 mwaka 2018

Katika ziara hiyo Mhe. Faustine Ndungulile ameipongeza timu nzima ya zahanati ya Nyamizeze kwa njinsi inavyofanya kazi yake vizuri na kusema ameridhishwa na hadhi iliyopatiwa kwani katika maeneo yote aliyotaka kujiridhishwa Zahanati hiyo imefanya vizuri zaidi ya alivyokuwa akidhania.

Kwa upande wake Mganga Mfawidhi wa kituo hicho; akitoa neno kwa Mhe Naibu Waziri Dr. Ndungulile Bi. Zuhura amesema siri ya mafanikio yote hayo ni kufanya kazi kama timu moja jambo ambalo linakifanya kituo cha cha Zahanati yao kufanya vizuri kwani kila mmoja anashiriki.

Katika hatua nyingingine Dr. Ndungulile alipata fursa ya kuona shughuli zinazofanywa na shirika la (JSI) katika Hospitali Teule ya DDH ambalo linajishughulisha na utoaji wa huduma za afya ngazi ya jamii na baadae kufanya mazungumzo na wafanyakazi wa hospital hiyo amewahasa kutoa huduma zilizo bora na kuwa na lugha nzuri kwa wagonjwa kipindi tunapowapa huduma za matibabu, alisisitiza kwa kusema “mgonjwa anahitaji kufarijiwa na kutiwa moyo”

Nae Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Sengerema Bw. Magesa Mafulu alipokuwa akitoa shukrani zake kwa Mhe. Naibu Waziri wa Afya amemwahidi kufanyia kazi maelekezo pamoja na maagizo yote aliyowapatia.

Mkuu wa wilaya ya Sengerema Mwl. Enock Kipole akitoa salamu zake kwa Naibu Waziri Dr. Ndungulile amemshukuru yeye binafsi kwa juhudi zake anazozifanya katika kuhakikisha jamii nzima nchini Tanzania inapata huduma bora za afya jambo ambalo sasa kila mmoja ni shahidi na anaona matunda ya juhudi zinazofanywa na Serikali ya awamu ya tano chini ya kiongozi wake Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO AJIRA-UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • TANAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SENGEREMA August 07, 2024
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI UANDIKISHAJI NA BVR August 08, 2024
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

    March 05, 2025
  • UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

    March 04, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.