• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Mongella alidhishwa na utekelezaji Miradi ya Maendeleo Sengerema

Posted on: October 14th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Mongella ameupongeza uongozi na Halmashauri ya Sengerema kwa namna ambavyo wameweza kusimamia miradi mbali mbali ya maendeleo, ameyasema hayo alipokuwa ziarani katika Halmashauri ya Sengerema, katika kituo cha Zahanati ya Kasenyi ambapo kulikuwa na mradi wa wodi ya wazazi ambao kimsingi Mhe. Dr. John Pombe Magufuli alitoa kiasi cha shilingi milioni 10 kwa ajili ya maboresho ya Zahanati hiyo.

Ndipo uongozi ulipoamua kuanzisha ujenzi wa wodi wa wazazi ili kuleta tija zaidi hasa kwa akina mama ambao walikuwa wanapata shida kubwa wanapofika kujifungua kituoni hapo, hata hivyo sasa ujenzi wa Wodi hiyo umekamilika na akina mama wanafurahi hduma bora katika kituo hicho.

Mkuu wa mkoa amewataka vijana kuchangamkia fursa ya kuwa na watoto wa kutosha kwani Serikali imeamua kuboresha huduma kwa jamii hivyo hakuna mtoto anayeweza kupata shida na ndiyo maana serikali imeamua kutoa Elimu bure kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne.

Pia alipata fursa ya kukagua maendeleo ya mradi wa Maji Nyampande ambao unatakiwa kukamikika ifikapo Juni 2020 akipokea taarifa hiyo toka kwa kaimu Mkurugenzi wa MWAUWASA amewaangiza kuhakikisha maji yanatoka ifikapo Januari 2020 kwani hakuna sababu ya msingi kufanya mradi uchelewe ili hali pesa ipo hivyo ameutaka uongozi kuhakikisha unamsimamia mkandalasi anafanya kazi usiku na mchana ili mradi ukamilike mapema zaidi.

Na mwisho amesisitiza watu kutumia fursa hii ya zoezi  la kujiandikisha katika orodha ya wapiga kura kwa ajili ya kufanya chaguzi za viongozi wa Serikali za Mitaa ifikapo novemba 24 2019






Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO AJIRA-UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • TANAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SENGEREMA August 07, 2024
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI UANDIKISHAJI NA BVR August 08, 2024
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

    March 05, 2025
  • UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

    March 04, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.