• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Sengerema aliyekaa wa pili kutoka kushoto akiwa pamoja na wakazi wa Wilaya ya Sengerema wakifuatilia kwa makini uwasilishwaji ripoti ya Mchanga wa Madini awamu ya Pili kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Magufuli

Posted on: June 12th, 2017

Wanachi wilayani Sengerema wamefurika sehemu mbalimbali kuangalia uwasirishwaji wa Riporti ya pili ya kamati maalumu iliyokuwa ikichunguza mdini yaliyo katika makontena yenye mchanga wa madini yaliyopo sehemu mbalimbali hapa nchini na kutoa maoni mbalimbali juu swala hilo na kuitaka serikali kuchukuwa hatua dhidi ya wote waliosabisha hasara kwaTaifa letu.

Mkurugenzi wa Halimashauri ya Sengerema Ndg. Magesa Mafuru amesema kuwa watanzania tunatakiwa kuwa wazalendo katika nchi na tumsaidie Raisi katika vita ya kupambana na swala la watu wachache ambao wamehujumu inchi yetu katika swala zima la mikataba ya madini na kuhalalisha rasilimali za Taifa kupolwa na watu wachache.

Jaji Tasinga ni mwanachi wilayani sengerema aliyekuwa akifuatilia swala zima la uwasilishwaji wa ripoti hiyo yeye amesema kuwa katika swala zima la kuhakikisha mambo haya yanakwisha ni jukumu la chombo cha kutunga sheria ‘bunge kutengua na kubadilisha sheria ya mikataba ya madini kwa kuwa wao ndiyo waliyotunga hivyo hakuna chombo kingine cha sheria kitakacho fanya hivyo na kuwataka wabunge katika hili wanapaswa kuwa wazalendo na kuanagalia upya mikataba ili ilete tija kwa watanzania wote katika kunufaika na rasilimalim za nchi yao.

Alex Ramadhan ni mtumushi wa halmashauri ya Sengerema amesema kuwa kwanza anapongeza jutihada zilizofanywa na mkurugenzi wa halimashauri ya Sengerema kujumuika na watumishi na wananchi kwa ujmla kuangali uwasilishwaji wa ripoti na kusema kuwa mapendekezo yote yaliyotolewa na kamati hiyo yanapaswa kufanyiwa kazi kwa kuwa yamegusa maisha ya watanzania na kuitwa masikini huku taifa letu ni tajiri hivyo kama mapendekezo hayo yatafanyiwa kazi basi dhahili watanzania tutakuwa watu ambao siyo ombaomba.

Dkt Agerina Samike yeye amesema kuwa kutokana na ripoti hii imeonyesha wazi kuwa tatizo ni chombo cha kutunga sheria, wabunge, kwani pamoja na wanasheria wa nchi kukubali kupitisha sheria ambazo hazina tija kwa taifa hivyo wabunge wote kwa pamoja hawana budi kutengue sheria hizo na kujadili upya ili zilete manufaa kwa ya wantanznia wote.

Matangazo ya Kawaida

  • TAARIFA YA FEDHA YA HESABU ZA MWISHO HALMASHAURI YA WILAYA SENGEREMA KWA MWAKA ULIOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024 August 06, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI MBALIMBALI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA SENGEREMA July 29, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MAKUBALIANO YA NYONGEZA KATI YA SERIKALI NA KAMPUNI YA NYANZAGA MINING COMPANY LIMITED KWA AJILI YA UCHIMBAJI MKUBWA WA MADINI YA DHAHABU

    August 20, 2025
  • MAADHIMISHO YA KILELE CHA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA HALMASHAURI YA WILAYA YA SENGEREMA

    August 20, 2025
  • MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA HALMASHAURI YA WILAYA YA SENGEREMA

    August 04, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKIZI YA MAUAJI YA WATU WENYE UALBINO

    July 29, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.