• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

MIRADI YA BILIONI 4.7 SENGEREMA YAPITIWA NA MBIO ZA MWENGE 2024

Posted on: October 7th, 2024


*Wazindua mradi wa Maji wa Bilioni 2.9 Chifunfu na Shule mpya ya Msingi Isamilo*


*Wapongeza Ujenzi wa Kituo cha Afya Nyamazugo*


Na; Richard Bagolele- Sengerema


Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024 umezindua, kuweka mawe ya msingi na kutembelea miradi sita yenye jumla ya shilingili bilioni 4.6 katika Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema.


Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndg. Godfrey Eliakim Mnzava ameridhishwa na kuweka jiwe la msingi kwenye ujenzi wa Kituo cha Afya Nyamazugo wilayani Sengerema kinachotekelezwa kwa thamani ya Tshs.Milioni 500 fedha kutoka Serikali kuu.


Akizungumza na wananchi baada ya kuweka jiwe la msingi leo Oktoba 07, 2024 kiongozi huyo amewapongeza viongozi wa Halmashauri hiyo kwa usimamizi mzuri uliozaa mradi wenye ubora ukilinganisha na thamani ya fedha iliyotumika.


Ndugu Mnzava amesema Mhe. Rais ameamua kutoa fedha hizo kuwajengea wananchi wake zaidi ya 45,416 kutoka kwenye kata tatu za Nyamizeze, Kasenyi na Nyamazugo na maeneo ya jirani ili jamii iwe na uhakika wa kupata matibabu.


"Sengerema mmeitendea haki fedha iliyoletwa kwa ajili ya ujenzi huu, Mhe. Rais ameleta fedha hizi ili kuboresha huduma za afya, naomba muendelee kukamilisha ili kufika mwezi disemba huduma zianze kutolewa." Amesema ndugu Mnzava.


Mwenge wa uhuru 2024 pia umezindua mradi wa maji ya bomba katika kijiji cha Chifunfu wenye thamani ya Bilioni 2.9 fedha kutoka mpango wa maendeleo ya Maji (WSDP) uliotekelezwa na mkandarasi Emirate Builders Co. Ltd ambapo kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru amewaaguza RUWASA kuongea vituo vya kutekea maji ili wananchi wote 31,423 katika vijiji vya Chifunfu, Lukumbi na Nyakahako wapate huduma ya maji.


Mbunge wa jimbo la Sengerema Mhe. Hamis Tabasamu amesema kupitia Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema imetekeleza miradi mingi ya maji ambapo karibu maeneo yote ya Sengerema yatapata huduma ya maji.


Amesema kukamilika kwa mradi wa maji wa Chifunfu kunawafanya wananchi wa Chifunfu kuwa na amani hususan katika suala zima la upatikanaji wa huduma ya maji ambapo ameomba kutatuliwa kwa tatizo la maji katika vitongoji vitano vilivyosalia katika eneo hilo.


Mwenge wa uhuru ukiwa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema umezindua shule ya mpya ya Msingi Isamilo, na kutembelea mradi wa vijana wa uoteshaji wa miti na mradi wa uhifadhi wa mazingira sekondari ya Ibondo, pamoja na kujionea utoaji wa huduma za afya kwenye hospitali ya Halmashauri iliyipo Mwabaluhi.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA МКАТАBA WAKUSANYA МАРАТО September 04, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 02, 2025
  • TAARIFA YA FEDHA YA HESABU ZA MWISHO HALMASHAURI YA WILAYA SENGEREMA KWA MWAKA ULIOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024 August 06, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MAKUBALIANO YA NYONGEZA KATI YA SERIKALI NA KAMPUNI YA NYANZAGA MINING COMPANY LIMITED KWA AJILI YA UCHIMBAJI MKUBWA WA MADINI YA DHAHABU

    August 20, 2025
  • MAADHIMISHO YA KILELE CHA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA HALMASHAURI YA WILAYA YA SENGEREMA

    August 20, 2025
  • MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA HALMASHAURI YA WILAYA YA SENGEREMA

    August 04, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKIZI YA MAUAJI YA WATU WENYE UALBINO

    July 29, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.