• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mhe. Ngereja atoa mifuko 200 katika Shule ya Sekondari Katunguru iliyopatwa na janga la moto

Posted on: February 11th, 2018

Mbunge wa Jimbo la Sengerema Wiliamu Ngeleja ametoa mifuko 200 ya saluji yenye thamani ya ya zaidi ya shilingi miloni 3 kwa ajili ya ujenzi wa bweni la wavulana katika shule ya Sekondari Katunguru katika halmashauri ya Sengerema iliyokubwa na janga la moto.

Akikabidhi mifuko hiyo jana kwa niaba ya Mbunge huyo Diwani wa Kata ya Katunguru Mathew Lubongeja amesema amefikia maamuzi hayo ili kuwasaidia wananchi wake ambao watoto wao wamepata madhara makubwa ya kuunguliwa na vitu vyao na kukoswa mahara pa kulala, alisema

“Ngeleja anawapapole walimu na wanafunzi ambao wamepata adha hiyo na kusema kuwa Serikali ipo pamoja nao na itahakikisha wanatoa mchango wa hali na mali ili kurejesha miundu mbinu ya bweni hilo ili watoto waweze kupata mahala salama pa kusomea na kujifunzia kama hapo mwanzo”

Mwalimu wa taaruma wa shule hiyo Bwn. Anton Bulugu amesema kumekuwepo na athari za kitaaruma kwa wanafunzi hao na kusema, wamekosa masomo kwa muda siku kadhaa sasa hivyo jamii na serikali inapaswa kuliangalia swala hilo kwa mapana ili kuwasaidia.

Nae Mkuu wa shule ya Sekondary Katunguru Baraka Msimba ameshukuru kupokea msaada huo na kusema itamsaidi kusukuma ujenzi wa bweni jipya ambao umeanza na kuwaomba wananchi wengine wajitolea kuwasaidia ili wanafunzi hao waweze kupata mahari pa kulala, ameongeza kwa kusema kuwa “hadi sasa amekwisha pokea magodoro 160 yaliyotolewa na kamati ya ulinzi la mkoa wa mwanza pamoja na kamati ya ulinzi ya wilaya ya sengerema kwa ajili ya wanafunzi walionguliwa bweni lao”

Nao wanafunzi wa kidato cha nne shule ya Sekondary Katungurua wamesema kuwa baada ya moto huo kutokea hakuna mwanafunzi hata mmoja aliyeendelea na kusoma kilichotokea wengi wetu tulizilai na kuomba msaada.

Mmoja wa wazazi wa wanafunzi wanasoma katika shule hiyo amesema tukio hilo limerudisha nyuma maendeleo ya watoto wao hivyo wanaomba Serikali kuwasaidia ili kumaliza tatizo hilo.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO AJIRA-UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • TANAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SENGEREMA August 07, 2024
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI UANDIKISHAJI NA BVR August 08, 2024
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

    March 05, 2025
  • UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

    March 04, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.