• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

MAAFISA AFYA, MAENDELEO YA JAMII NA WAHUDUMU AFYA SENGEREMA WANUFAIKA NA VYOMBO VYA USAFIRI

Posted on: August 21st, 2023

Jumla ya wahudumu wa Afya 184 kutoka vijiji vyote na mitaa ya Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Maafisa afya wa kata 7 na Maafisa Maendeleo ya Jamii wawili wamekabidhiwa Pikipiki siku ya Jumatatu tarehe 21 Agosti, 2023.


Baiskeli zilizokabidhiwa zina thamani ya Shilingi 46,000,000, na Pikipiki 7za Maafisa afya zina thamani ya shilingi 27,650,000  zikiwa ni fedha za mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (SRWSSP) na Maafisa Maendeleo ya jamii wa kata za Busisi na Ibondo wamekabidhiwa Pikipiki 2 kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu ili kurahisisha utendaji wa kazi za kila siku.


Akikabidhi pikipiki hizo kwa  watoa huduma hao, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema Yusta Mwambembe amewataka watoa huduma hao walionufaika na vyombo hivyo vya usafiri kuhakikisha wanatumia vizuri kwa malengo yaliyokusudiwa ili kuweza kuleta matokeo chanya katika shughuli za usafi wa mazingira pamoja shughuli za Maendeleo ya Jamii.


Mratibu wa mradi wa Usafi wa Mazingira vijijini Ndugu Abdulahman Mgonja amesema Pikipiki hizo na Baiskeli zilizokabidhiwa kwa maafisa afya na wahudumu wa afya zitaleta matokeo makubwa kutokana na watoa huduma hao kukabiliwa na changamoto za usafiri mara kwa mara wanapohitaji kufanya shughuli za usimamizi wa usafi na mazingira, hivyo amewaomba watumishi hao pamoja na wahudumu kufanya kazi kwa bidii ili kuweza kufikia malengo ya mradi huo wa usafi na mazingira vijijini.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI July 28, 2023
  • TANGAZO KWA WAMILIKI WA MAENEO ENEO LA STENDI MPYA SENGEREMA July 27, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 14, 2023
  • Majina ya walioitwa kwenye Mafunzo ya Ukarani, Tehama na Usimamizi wa Maudhui katika Sensa ya Mwaka 2022 July 26, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • WAKULIMA KATUNGURU MBIONI KUNUFAIKA NA MRADI WA UMWAGILIAJI

    September 20, 2023
  • MIZUNGUKO YA WAVUVI CHANZO CHA MAAMBUKIZI VVU

    September 01, 2023
  • MIZUNGUKO YA WAVUVI CHANZO CHA MAAMBUKIZI VVU

    September 01, 2023
  • RC MAKALLA AANDAA MKAKATI KAMAMBE WA KUTATUA KERO ZA WANANCHI

    September 11, 2023
  • Ona vyote

Video

RC ATOA SIKU NNE WAZAZI KUPELEKA WATOTO KIDATO CHA KWANZA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.