• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

KUELEKA MIAKA 61 YA UHURU, SENGEREMA YAZINDUA ZOEZI LA UPANDAJI MITI

Posted on: December 4th, 2022


Katika kuadhimisha miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara Wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza imezindua rasmi zoezi la upandaji wa miti lenye lengo kuhifadhi mazingira katika maeneo yote ya Wilaya.

Akizindua zoezi hilo ambalo limeandaliwa na Shirikisho la walimu ambao ni makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Sengerema Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Mhe. Senyi Ngaga amewaagiza wananchi wote pamoja na taasisi zote zilizopo wilayani hapa kuhakisha zinapanda miti hususani ile ya matunda katika maeneo yao ili kuhifadhi mazingira na kuboresha afya.

"Tupandeni miti ili tukabiliane na haya mabadiliko ya tabia ya nchi, mwenendo wetu wa ukataji miti hauendi sambamba na upandaji wa miti, hivyo tuhakikishe tuapanda miti ili tuweke vizuri mazingira yetu" alisisitiza Mhe. Nganga.

Aidha Mhe. Nganga amesema lengo la Wilaya ni kupanda miti isiyopungua milioni moja na nusu kwa mwaka hivyo ni vyema kwa wananchi wote kuongeza kasi ya upandaji wa miti ili kufikia lengo hilo. Amesema katika kuadhimisha miaka 61 ya uhuru tarehe 9 Disemba 2022 pamoja na matukio mengine  Wilaya ya Sengerema itaendeleza zoezi la upandaji wa miti kwa kushirikiana na TFS ili kifikia lengo la kupanda miti zaidi ya milioni moja na nusu kwa mwaka.

Mwenyekiti wa shirikisho la walimu ambao ni makada wa CCM Wilaya ya Sengerema Mwalimu Sylivesta Sama amesema wataendelea na zoezi la upandaji wa miti pamoja na uhifadhi wa mazingira katika maeneo yote ya Wilaya ya Sengerema ikiwemo barabara ya kutoka Busisi hadi Geita hivyo ameomba wananchi wa maeneo husika kuitunza ili isiharibiwe na mifugo.

Zoezi la upandaji wa miti limezinduliwa kwa kupanda miti zaidi ya 1,800 kwenye chuo cha VETA Sengerema.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO AJIRA-UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • TANAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SENGEREMA August 07, 2024
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI UANDIKISHAJI NA BVR August 08, 2024
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

    March 05, 2025
  • UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

    March 04, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.