• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Kaya14,476 zanufaika na Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini katika wilaya ya Sengerema

Posted on: June 8th, 2018

Mpango wa kunusuru kaya masikini Wilayani Sengerema Mkoa wa Mwanza umezinufaisha Kaya 14476 ambapo walengwa wote wamepata fedha za kuendesha maisha yao.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Emmanuel Kipole wakati akizungumuza na waandishi wa habari ofisini kwake.

Amesema wakati mpango huo wa kunusuru kaya masikini wilayani sengerema ulipoanza ulikuwa unahudumia kaya 17062 na baada ya kufanya uhakiki Kaya zipatazo 2586 ziliondolewa kwenye mpango kwa kuwa ziliingizwa kimakosa na kubakiwa na kaya 14476 zenye sifa.

Mpango huo umekuwa ni mkombozi kwa wananchi wilayani Sengerema ambapo wanufaika wa mpango huo wamepata nufaa mbalimbali ikiwemo kuanzisha swala ufugaji ,wa kuku,mbuzi ,na wengine kujenga nyumba na baadhi yao  kusomesha watoto.

Mmoja wa wananchi wa kijiji cha Nyampande Justina Alphonce amesema mpango huu umemsaidia kusomesha watoto wake wapata saba alioachiwa na mume wake baada ya kufariki dunia.

Amesema mbali na kusomesha watoto ameanzisha mradi wa ufugaji wa kuku ambao unamsaidia katika mahitaji mbalimbali ya kuendeshea familia na kuimwagia sifa lukuki serikali kwa kuanzisha mpango huo wa kusaidia kaya ambazo watu wake ni masikini.

Justina amezitaka kaya zinazonufaika na mpango huo kujikita katika swala zima la kujipatia maendeleo kwa kuanzisha ufugaji kwa kuwampango huu utamaliza muda wake na watu wasijikita katika swala ufugaji mradi huo utawaacha wakiwa watupu.

Mratibu wa TASAF Wilaya ya Sengerema Malisa Nduga amesema wananchi wamenufaika na mpango huo ambapo walengwa hao wametumia fedha hizo kwa manufaa yao na kujipatia maendeleo.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Sengerema Magesa mafuru amesema mshikamano na usimamizi mzuri wa mradi huo umewasaidia wananchi kujipatia maendeleo.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO AJIRA-UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • TANAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SENGEREMA August 07, 2024
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI UANDIKISHAJI NA BVR August 08, 2024
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

    March 05, 2025
  • UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

    March 04, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.