• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

JAMII YAASWA KUTIMIZA WAJIBU KUKABILIANA NA MMOMOMONYOKO WA MAADILI

Posted on: May 15th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Mhe. Senyi Ngaga amesema suala la mmomonyoko wa maadili linasababishwa na baadhi ya wanafamilia na viongozi kutokutimiza wajibu wao katika kuhamasisha malezi bora kwenye jamii.


Mkuu wa Wilaya ameyasema hayo leo Mei 15, 2023 kijiji cha Nyasenga kata ya Nyampande wakati wa maadhimisho ya siku ya familia Duniani yaliyofanyika kiwilaya kijijini hapo.


Mkuu wa Wilaya amesema iwapo viongozi, wazazi, walezi na watoto watatimiza wajibu kuhusu malezi bora kuanzia ngazi ya falimia suala la mmomonyoko wa maadili katika jamii litakuwa historia.


"Wazazi, watoto, wazee wetu, viongozi wa dini na Serikali, hebu tushirikiane katika hili, kila mmoja wetu asimamie maadili, suala hili ni letu sote tushirikiane kukemea maadili yasiyofaa," amesisistiza mhe DC.


Mapema akisoma taarifa ya maadhimisho hayo, Mkuu wa idara ya Mendeleo ya Jamii Yusta Mwambembe amesema maadhimisho ya siku ya familia Duniani yanafanyika yakiwa na lengo la kuwakumbusha wazazi umuhimu wa maadili mema na upendo miongoni mwa wanafamilia hususan uzingatiaji wa maadili ya kitanzania katika malezi na makuzi ya watoto.


Mkuu wa jeshi la Polisi Wilaya ya Sengerema SSP. Haji Mohamed amesema suala la mmonyoko wa maadili katika jamii linaanza vijana hivyo amewataka kubadilisha mienendo yao kwa kufanya matendo mema ambapo ameomba kufanya mikutano ili kutoa elimu ya Polisi Jamii na masuala ya ulinzi kwa ujumla.


Kwa upande wa wananchi wa kata ya Nyampande wamesema suala la mmomonyoko wa maadili katika jamii ni matokeo ya vijana kuiga tamaduni za kigeni kama vile uvaaji usiozingatia maadili ya kitanzania hivyo wameomba wazazi waungane kukemea tabia hizo zisizofaa.


Maadhimisho ya siku ya familia yameenda sambamba na fursa kwa wananchi wa Nyampande kuuliza maswali kuhusu kero mbalimbali zinazowakabili ambapo majibu yametolewa na viongozi mbalimbali waliohudhuria maadhimisho hayo.


Kaulimbiu ya maadhimisho hayo mwaka huu ni *Imarisha maadili na upendo wa familia*.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA -UCHAGUZI MKUU MWAKA 2025 July 01, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU ASIFU MAENDELEO YA SENGEREMA

    May 19, 2025
  • DED SENGEREMA AGUSWA NA KERO ZA WATUMISHI

    May 02, 2025
  • SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

    March 05, 2025
  • UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

    March 04, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.