• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Huduma ya Maji yarejea katika mji wa Sengerema

Posted on: February 9th, 2018

Huduma ya Maji Wilayani Sengerema Mkoa wa Mwanza imelejea baada ya ukimya wa mda mrefu, jana majira ya saa tano usiku na jamii ya Sengerema kulipuka kwa furaha tangu kulejea kwa huduma hiyo.

Mmoja wa wananchi mjini humo Bwn. Amos Ramadhani amesema yeye alipokuwa nyumbani kwake majira ya saa nne usiku alipona bomba lake likitoa maji alistaajabu juu ya swala hilo ambalo waliliona kama ndoto.

Nae Mkurugenzi wa Halmashauri ya Sengerema Bwn. Magesa Mafuru ambaye yuko mjini Dodoma alipokuwa amekwenda kufuatilia swala hilo na kufanikiwa kujerejeshwa kwa huduma hiyo, amesema mazungumuzo yalifanyika na wizara tatu husika ambazo ni Wizara ya TAMISEMI , Nishati na Wizara ya Maji pamoja na viongozi wa shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) pamoja na viongozi wa Halimasahuri yamefanikisha kurejesha huduma ya maji sengerema.

Kuhusu deni la Shilingi milioni 200 wanalodaiwa mamulaka ya maji safi mjini Sengerema (SEWASA) na TANESCO kama limelipwa alisema kuwa yeye  anachofahamu, juu ya urejeshwaji wa huduma ya maji na mambo  mengine serikari inafahamu. Amewawaomba wananchi wa sengerema kuendelea kulipa bili ili kutunisha mfuko wa Seuwasa na kazi

Alisema mazungumuzo yalifanywa na wizara tatu husika ambayo ni Tamisemi , Nishati na wizara ya maji pamoja na viongozi wa shirika lamume Tanzania Tanesco pamoja na viongozi wa halimasahuri yamefanikisha kurejesha huduma ya maji sengerema.

Kuhusu deni la sh.miloni 200 wanalodaiwa mamulaka ya maji safi mjini Sengerema (SEWASA) na TANESCO kama limelipwa au raha ! amesema kuwa yeye  anachofahamu ni kufuatilia urejeshwaji wa huduma  ya maji na mambo  mengine Serikari inafahamu, pia amewaomba wananchi wa sengerema kuendelea kulipa bili ili kutunisha mfuko wa SEWASA ili mradi uendelee kujiendesha.

Mkuu wa Wilaya ya Sengerema  Mwl. Emmanuel  wakati akizindua zoezi la upandaji miti leo mjini Sengerema amewahakikishia wananchi wa Sengerema kuwa maji yamerejea na hayata katwa tena na mazungumuzo hayo ya kuhusu deni hilo yamekamilika.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO AJIRA-UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • TANAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SENGEREMA August 07, 2024
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI UANDIKISHAJI NA BVR August 08, 2024
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

    March 05, 2025
  • UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

    March 04, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.