• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Haya ndiyo Matunda ya Kivuko Kipya cha MV Mwanza

Posted on: September 10th, 2018

Ujio wa Kivuko kipya cha MV. Mwanza  ni utekelezaji wa ahadi ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliyoitoa alipokuwa anagombea kiti cha urais awamu ya tano mapema mwaka 2015.   Mv Mwanza ilianza kujengwa mapema mwanzoni mwa mwaka 2015 chini ya mkandalasi wa kitanzani ‘Songoro Marine Transport’ kwa gharama ya fedha kiasi cha shilingi Bilioni 8.9

Kivuko hiki kinafanya kazi kati ya kigongo na busisi na kinatoa huduma kwa kuunganisha mkoa ya Mwanza, Geita na mikoa jirani. Kivuko hiki kimekuwa msada na mkombozi mkubwa kwa wakazi wa maeneo husika hasa katika utekelezaji wa zana nzima ya “Hapa kazi tu” kwani kimeweza kutatua kero ya usafiri iliyokuwepo kwa mda mrefu iliyokuwa inasababishwa na kuharibika mara kwa vivuko vilivyokuwepo hapo awali.

Jambo ambalo lilidumaza ukuwaji wa uchumi na kasi ya maendeleo miongoni mwa wananchi wa maeneo husika ambao wamekuwa wakitumia usafiri huo wa kivuko kama kiunganishi kikuu kati ya Mwanza, Geita na mikoa jirani, kwani iliwalazimu kutumia masaa kadhaa au mda mwingine siku kadhaa kwa lengo la kuvuka kutoka upande mmoja kwenda upande mwingine.

Aidha ujio wa kivuko hiki kipya umekuwa mwarobaini wa kero hiyo kwa wananchi kwani hivi sasa wananchi wanatumia kivuko kipya ambacho kimsingi kinatumia mwendo wa dakika 10 hadi 15 kutoka upande mmoja kwenda upande mwingine kitu ambacho ni historia tangu kupata uhuru na kinauwezo wakubeba magari 36 na watu 1,000 kwa wakati mmoja.

Hata hivyo serikali bado inaendelea na mikakati mbalimbali ili kumaliza kabaisa tatizo la usafiri kwa wakazi wa maeneo hayo kama ambavyo Eng. Ramadhan Ally amabye ni msimamizi wa kivuko cha Kigongo - Busisi anaelezea “kwa mwaka huu wa fedha Serikali imejipanga kukipeleka matengenezo kivuko chake cha MV Sengerema na mwakani kivuko kikingine MV Misungwi tutakipeleka matengenezo lengo ni kumaliza adha ya usafiri kwa wakazi wa Mwanza, Geita na mikoa jirani”

lakini jambo linguine niwaombe wakazi wa maeneo ya jirani na watumiaji wa kivuko hiki kuwa walinzi wa mali hizi za serikali dhidi ya watu ambao hawana nia njema na juhudi zinazofanywa na serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Chama cha Mapinduzi (CCM).



Hata hivyo Serikali kupitia malengo yake ya mda mrefu ina mpango wa kujenga daraja kati ya Kigongo na Busisi jambo ambalo pindi litapokuwa limekamilika ni dhahili kuwa adha kivuko kati ya Mwanza, Geita na mikoa jirani litakuwa limekwisha kabisa.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO AJIRA-UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • TANAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SENGEREMA August 07, 2024
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI UANDIKISHAJI NA BVR August 08, 2024
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

    March 05, 2025
  • UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

    March 04, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.