• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Mwl. akabidhi asilimia 10 za Mfuko wa Vijana na Wanawake katika Halmashauri ya Sengerema Robo ya Kwanza kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018

Posted on: November 2nd, 2017

Zaidi ya vikundi kumi na mbili vya wanawake na vijana katika Halmashauri ya wilaya ya Sengerema, vimepokea kiasi cha shilingi milioni 10 ikiwa ni fedha kutoka katika makusanyo ya ndani, kama ambavyo sera ya serikali inaagiza lengo ikiwa ni kuondoa umaskini kwa makundi ya vijana na wanawake nchini.

Akikabidhi fedha hizo Mhe, Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Ndg. Emanuel Kipole, amewataka vijana kuachana na makundi mabaya hasa vitendo vya uvutaji bangi, uchezaji pool, bali muda huo wautumia kufanya shughuli za kuwaongezea kipato ikiwa na pamoja na kujishughulisha na kilimo.

Pia amewataka akina mama waliopata fedha za mfuko wa wanawake kuachana na dhana ya kuwa tegemezi (gori kipa) kwa wanaume zao kwani jambo hilo la kuwa tegemezi si kwamba linawaondolea dhana ya usawa bali limekuwa likisababisha migogoro mingi ndani ya familia kwani, amesema “wanawake wengi mmeonekana kuwa mzigo mbele za waume zenu, sasa kupitia fursa hii mliyoipata ni dhahiri kuwa hata amani ndani ya familia itaongezeka iwapo tu kila mmoja atakuwa na shughuli ya kumuigizia kipato na hivyo kila mmoja kuwa tegemezi kwa mwenzake”

Akihitimisha Mhe. Mkuu wa wilaya amevitaka vikundi vyote vilivyopata fedha katika mfuko wa vijana na wananwake kuhakikisha wanafanya marejesho kwa wakati na kuvionya vikundi vyote ambavyo havijarudisha fedha hizo kuhakikisha vinafanya hivyo mara moja tofauti na hivyo atavichukulia hatua za kisheria kwani fedha hizo hazikutolewa kama sadaka bali ili fedha hizo ziweze kuzungushwa na makundi mengine ya vijana na wanawake waweze kunufaika na mfuko.

Nae Mkurugenzi wa Halmashauri Ndg. Magesa Mafuru Boniphace ameahidi kila robo ya mwaka fedha  za mfuko wa vijana na wanawake zitakuwa zinatolewa kwa wakati katika vikundi.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO AJIRA-UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • TANAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SENGEREMA August 07, 2024
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI UANDIKISHAJI NA BVR August 08, 2024
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

    March 05, 2025
  • UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

    March 04, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.