• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

DED SENGEREMA ASISITIZA UTOAJI WA HUDUMA BORA ZA AFYA

Posted on: July 15th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Binuru Shekidele amewasisitiza watoa huduma kwenye vituo vya kutolea huduma za afya vilivyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema kuhakikisha wanatoa huduma bora za afya sambamba na kuzingatia usafi katika maeneo ya vituo hivyo.


Shekidele ameyasema hayo leo (Julai 15, 2024) wakati alipokuwa kwenye ziara ya kukagua utoaji wa huduma katika Hospitali ya Wilaya ya Mwabaluhi pamoja na vituo vya afya vya Buzilasoga na Nyamazugo ambacho kipo katika hatua za ukamilishaji ili kianze kutoa huduma.


Amesema watumishi waliopo katika maeneo hayo wanapaswa kulinda rasilimali zote zilizopo katika vituo hivyo sambamba na itoaji wa huduma bora kwa wananchi .


Akikagua zoezi la usafi na ufungaji wa vifaa tiba katika hospitali ya Wilaya ya Mwabaluhi, Shekidele amemwagiza Mganga Mkuu wa Halmashauri kuhakikisha zoezi la uwekaji wa njia za watembea kwa miguu ndani ya hospitali hiyo, ufungaji wa vitanda pamoja na ukamilishaji wa vifaa mhimu linapewa kipaumbele ili hospitali hiyo iweze kuanza kutoa huduma haraka iwezekanavyo.


Mapema akikagua maendeleo ya ujenzi wa kituo cha afya cha Nyamazugo Shekidele amemwagiza fundi anayejenga kituo hicho kukamilisha kazi hiyo katika ubora huku akimtaka kuhakikisha dosari zote zilizipo katika baadhi ya majengo hayo zinarekebishwa ili kituo hicho kianze kutoa huduma haraka.


Kwa upande wa kituo cha afya cha Buzilasoga, Shekidele amemwagiza Mganga mkuu wa Halmashauri kuhakisha huduma za maji zinapatikana haraka ili kusaidia kituo hicho ambacho kimeanza kutoa huduma kwa wanachi wa kata hiyo ambapo amesema kipaumbele kikubwa kwa sasa katika kituo hicho ni upatikanaji wa maji ya uhakika ili kuondoa usumbufu kwa watumishi na wagonjwa wa kituo hicho.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO AJIRA-UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • TANAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SENGEREMA August 07, 2024
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI UANDIKISHAJI NA BVR August 08, 2024
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

    March 05, 2025
  • UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

    March 04, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.