• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

DC ATAKA WAZAZI WASHIRIKISHWE LISHE SHULENI

Posted on: May 29th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Sengerema mhe. Senyi Ngaga amewaagiza watendaji wa kata na vijiji Wilayani Sengerema kuhakikisha wanashirikisha wazazi na viongozi kuhusu suala ya lishe kwa wanafunzi.


Mkuu wa Wilaya ameyasema hayo leo (29.05.2024) wakati wa kikao cha kujadili utekelezaji wa Mikataba ya Lishe kilichowakutanisha watendaji wa kata na wataalamu ngazi ya Halmashauri.


Mkuu wa Wilaya amesema pamoja na Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema kufanya vizuri kwenye utekelezaji wa shughuli za Lishe bado suala la chakula kwa wanafunzi limekuwa halitekelezwi ipasavyo hivyo amewataka watendaji kupitia vikao vya ngazi za vijiji na kata kuwahusisha wazazi, walezi pamoja na viongozi ili kwa umoja wao waweke mikakati ya utoaji wa chakula shuleni na kulifanya kuwa suala endelevu.


"Fanyeni vikao vya wazazi na madiwani, wahamasisheni kuhusu suala la lishe kwa wanafunzi kuwa ni suala la lazima, mtoto akipata hata kikombe cha uji itasaidia" amesisitiza Mkuu wa Wilaya.


Katika hatua nyingine Mkuu wa Wilaya amewagiza watendaji wa kata kuhakikisha wanatoa elimu ya uhifadhi wa chakula kwa wananchi kwani baadhi yao wameanza kuuza na kusababisha kaya nyingi kukubwa na janga la njaa.


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema akimkaribisha Mkuu wa Wilaya katika kikao hicho amesema Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema inaendelea kutekeleza vyema suala la lishe na amesema hadi kufikia mwezi Juni 2024 Halmashauri itakuwa imefikia lengo la kitaifa kuhusu utekelezaji wa mipango ya Lishe.


Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema Dkt. Fredrick Mugarula amesema Halmashauri imekuwa ikifanya vizuri katika utekelezaji wa afua za lishe kutokana na ushirikiano kutoka kwa watendaji wa kata na vijiji ambao wameweka mikakati mizuri hivyo amewaomba kuendeleza ushirikiano huo.

Matangazo ya Kawaida

  • TAARIFA YA FEDHA YA HESABU ZA MWISHO HALMASHAURI YA WILAYA SENGEREMA KWA MWAKA ULIOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024 August 06, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI MBALIMBALI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA SENGEREMA July 29, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MAKUBALIANO YA NYONGEZA KATI YA SERIKALI NA KAMPUNI YA NYANZAGA MINING COMPANY LIMITED KWA AJILI YA UCHIMBAJI MKUBWA WA MADINI YA DHAHABU

    August 20, 2025
  • MAADHIMISHO YA KILELE CHA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA HALMASHAURI YA WILAYA YA SENGEREMA

    August 20, 2025
  • MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA HALMASHAURI YA WILAYA YA SENGEREMA

    August 04, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKIZI YA MAUAJI YA WATU WENYE UALBINO

    July 29, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.