• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

BUYAGU KUWA KITUO CHA MFANO KILIMO CHA PAMBA

Posted on: March 2nd, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Adam Malima amepania kuboresha kilimo cha zao la Pamba ambapo ameagiza kuanzishwa kwa umoja wa wakulima wa Pamba Buyagu Wilayani Sengerema ili kuongeza uzalishaji na kutoa elimu kwa wakulima wa maeneo mengine.


Akizungumza na baadhi ya wakulima wa Pamba wa kata ya Buyagu alipotembelea  mashamba yao ya Pamba, Mhe. Malima amesema bado wakulima wa zao hilo hawalimi kilimo cha kisasa kitendo ambacho kinarudisha nyuma uzalishaji wa zao hilo, ambapo amesema mpango wa kuanzisha kilimo cha kisasa cha zao hilo utaenda sambamba na kuongeza uzalishaji wa zao hilo ili watu wengine kutoka maeneo mengine wajifunze.


"Mimi ninataka wakulima wengine kutoka maeneo yote ya Afrika waje wajifunze Buyagu kilimo bora cha Pamba na inwezekana" amesisitiza mhe. Malima



Mkuu wa Mkoa ameiagiza Bodi  ya Pamba kushirikiana na Halmashauri kuanzisha umoja wa wakulima wa Pamba wa eneo hilo pamoja na kujenga kituo maalumu cha wakulima wa Pamba kwa ajili ya kuwahudumia wakulima hao kitendo ambacho kitapelekea wakulima kuweza kukopeshwa Pembejeo.


"Mimi nawaomba, tutenge kanda hii iwe ya majaribio kwenye zao la Pamba. Tutafanya usajili wa wakulima wote, lazima tupime pia udongo huu tujue ni mbolea gani inahitajika" amesema mhe. Malima


Mhe. Malima amesema mpango huo pia utahusisha utoaji wa mikopo ya Pembejeo kwa kushirikiana na mabenki pamoja na Halmashauri kuwezesha miundombinu ya umwagiliaji pamoja na elimu ya upandaji kwa kuzingatia kanuni bora za kilimo ili mkulima kwa hekari moja apate kilo angalau 2000.


Mkuu wa Mkoa amesikitishwa kutokana na kuwaona wakulima wakipoteza fursa ya kupata fedha nyingi kupitia zao la Pamba kutokana na kutokuzingatia kanuni bora za kilimo cha Pamba.


Mkuu wa Mkoa ameunda kamati maalumu inayohusisha wataalamu wa kilimo ngazi ya Wilaya na Mkoa ambapo itaandaa taarifa mhimu za wakulima hao pamoja na ukubwa wa mashamba yao.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 14, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KADA YA DEREVA II NA MTUNZA KUMBUKUMBU II November 11, 2022
  • Majina ya walioitwa kwenye Mafunzo ya Ukarani, Tehama na Usimamizi wa Maudhui katika Sensa ya Mwaka 2022 July 26, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili wa Kazi ya Afisa Mtendaji wa Kijiji Daraja III, Katibu Muhtasi Daraja III na Dereva Daraja II July 05, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI SENGEREMA LAKOSHWA NA UKUSANYAJI WA MAPATO

    March 15, 2023
  • DC SENGEREMA AKEMEA MMOMONYOKO WA MAADILI

    March 08, 2023
  • RC MALIMA ATIMIZA AHADI YAKE KWA WANANCHI WA MAMI

    March 08, 2023
  • BUYAGU KUWA KITUO CHA MFANO KILIMO CHA PAMBA

    March 02, 2023
  • Ona vyote

Video

RC ATOA SIKU NNE WAZAZI KUPELEKA WATOTO KIDATO CHA KWANZA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.