• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

BOOST YAANZA KWA KISHINDO SENGEREMA

Posted on: May 13th, 2023

hiKamati ya mradi wa kuimarisha na kuboresha elimu ya Awali na Msingi (BOOST) wilayani Sengerema imewaasa mafundi na wadau mbalimbali wanaofanya kazi katika miradi hiyo kuhakikisha wanasimamia vyema suala la usalama wao na mazingira wawapo kwenye eneo la mradi.


Hayo yamebainishwa leo jumamosi Mei 13 wakati kamati hiyo ilipotembelea kwenye maeneo ya miradi ya BOOST kwa lengo la kutoa elimu ya usalama wa mafundi na wasimamizi wawapo kazini pamoja na kubaini mipaka ya maeneo hususan mahali ambapo zinajengwa shule mpya za msingi za Kilabela na Bugumbikiso kupitia mradi wa BOOST.


Afisa elimu Msingi wa Halmashauri ndugu Donati Bunonos amesema miongoni mwa vigezo mhimu vya mradi wa BOOST ni usalama wa mafundi wawapo kazini hivyo kamati hiyo inalojukumu ya kutoa elimu kwa wafanyakazi wote wanahosika na mradi huo.


"Najua tunafanya kazi katika mazingira magumu na hatarishi hivyo kamati hii imefika hapa kuwaeleza mambo mhimu ya kuzingatia tunapokuwa kwenye eneo la mradi" amesema Afisa elimu msingi.


Afisa Mazingira wa Halmashauri ndugu Wilbard Muyumbu amewataka mafundi hao kuhakikisha wanazingatia utunzaji wa mazingira ikiwemo matumizi ya vyoo wawapo katika eneo la mradi pamoja na mavazi maalumu yatumikayo wakati wa ujenzi kama vile uvaaji wa kofia ngumu, gloves na Gambuti.


Mwakilishi wa idara ya Maendeleo ya Jamii ndugu George Adolph amewaasa mafundi hao kuhakikisha wanazingatia  usalama, afya na mazingira ya mradi pamoja na wadau wote wanaozunguka eneo la mradi hivyo amewataka mafundi hao kufanya kazi huku wakiweka mbele usalama wa afya zao na mazingira yanayowazunguka.


Mradi wa BOOST katika Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema unatekelezwa katika jumla ya shule 10 kwa gharama ya shilingi 1,606,400,000 ambapo kuna miundombinu mbalimbali imeanza kujengwa katika shule hizo.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI July 28, 2023
  • TANGAZO KWA WAMILIKI WA MAENEO ENEO LA STENDI MPYA SENGEREMA July 27, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 14, 2023
  • Majina ya walioitwa kwenye Mafunzo ya Ukarani, Tehama na Usimamizi wa Maudhui katika Sensa ya Mwaka 2022 July 26, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • WAKULIMA KATUNGURU MBIONI KUNUFAIKA NA MRADI WA UMWAGILIAJI

    September 20, 2023
  • MIZUNGUKO YA WAVUVI CHANZO CHA MAAMBUKIZI VVU

    September 01, 2023
  • MIZUNGUKO YA WAVUVI CHANZO CHA MAAMBUKIZI VVU

    September 01, 2023
  • RC MAKALLA AANDAA MKAKATI KAMAMBE WA KUTATUA KERO ZA WANANCHI

    September 11, 2023
  • Ona vyote

Video

RC ATOA SIKU NNE WAZAZI KUPELEKA WATOTO KIDATO CHA KWANZA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.