• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

ASKOFU MALASUSA ASIFU USHIRIKIANO WA KKKT NA SERIKALI

Posted on: January 21st, 2025

ASKOFU MALASUSA  ASIFU USHIRIKIANO WA KKKT NA SERIKALI


Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la  Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Alex Malasusa amesifu ushirikiano baina ya madhehebu ya dini likiwemo KKKT na Serikali ambapo amesema kufanya hivyo kuna jenga mahusiano mazuri baina ya Wananchi na taasisi hizo.


Askofu Dkt. Malasusa ameyasema hayo leo Januari 21, 2025 wakati wa ziara yake ya siku moja wilayani Sengerema yenye lengo la kujionea shughuli za Mradi wa USAID Kizazi Hodari Kanda ya Kaskazini Mashariki ambapo ametembelea kijiji na kata ya Igulumuki.


Dkt. Malasusa amesema kupitia shughuli nzuri za uzalishaji za  vikundi kupitia mradi huo ni ishara kuwa jamii ina umoja na umoja huo unatokana na mahusiano mazuri baina ya serikali na wananchi hivyo ni vyema mahusiano hayo yakaendelezwa.


"Ushirikiano huu baina ya madhehebu ya dini na Serikali unaweza kutufikisha mbali sana,  lakini pia unadumisha amani, miradi hii haibagui dini au dhehebu la mtu au itikadi za kisiasa, hivyo ni vyema tukaendeleza ushirikiano huo" amesema Askofu Dkt. Malasusa.


Mkuu wa Wilaya ya Sengerema mhe. Senyi Nganga akimkaribisha Askofu Mkuu Dkt. Malasusa wilayani Sengerema amelishukuru kanisa la KKKT kwa kuleta mradi wa USAID Kizazi Hodari wilayani Sengerema ambapo amesema kupitia mradi huo ni wazi kuwa wananchi wa Sengerema  watanufaika pamoja na kuisaidia Serikali katika kufikia malengo yake ambapo ameahidi kuendelea kutoa ushirikiano na madhebu yote ya dini.


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri, Binuru Shekidele akitoa shukrani zake kwa Askofu Dkt. Malasusa amempongeza kupitia kanisa la KKKT kwa mradi huo katika kata ya Igulumuki ambapo amesema kupitia miradi hiyo jamii itajinasua na janga la umasikini.


Mradi wa USAID Kizazi Hodari Wilaya ya Sengerema ulianza mwezi Oktoba 2023. Lengo kuu la mradi huo ni kuboresha huduma za afya, ustawi na ulinzi na usalama kwa watoto walio katika mazingira hatarishi na katika kata ya Igulumuki mradi huo umeweza kutoa huduma kwa walengwa 77.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO AJIRA-UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • TANAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SENGEREMA August 07, 2024
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI UANDIKISHAJI NA BVR August 08, 2024
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

    March 05, 2025
  • UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

    March 04, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • CHUO KIKUU CHA ARDHI 'KAMPASI' YA SENGEREMA KUANZA KUJENGWA FEBRUARI 2025

    February 03, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.