• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Kumiliki Siraha

KUPATA KIBARI CHA KUMILIKI SIRAHA

1. Mwombaji unatakiwa kuandika barua ya maombi kupitia ofisi ya kijiji au mtaa juu ya kusudio lake hilo la kuomba kumiliki siraha. 

2. Ofisi ya kijiji au mtaa itaandaa mkutano mkuu wa kijiji au mtaa ambapo mkutano huo mwenyekiti wake atakuwa mwenyekiti wa kijiji au mtaa na katibu wa mkutano huo atakuwa ni mtendaji wa kijiji au mtaa. Agenda ya mkutano huo itakuwa ni kumjadili mhusika au mwombaji anayetaka kumiliki siraha kama ni mtu amabaye hana kashifa mbaya kama wizi au ujambazi katika mtaa au kijiji husika.     Mkutano mkuu ukiridhia hana matatizo basi ataandikiwa barua ya kumtambulisha mbele ya ofisi ya Mkuu wa Wilaya.

3. Mkuu wa Wilaya baada ya kupokea barua hiyo ya utambulisho toka ofisi ya kijiji au mtaa juu ya jambo tajwa toka kwa mwombaji atakaa na kamati yake ya ulinzi na usalama kisha watajiridhisha na baadae watatuma maombi hayo kwenda mkoani.

4. Ofisi ya mkuu wa mkoa nayo itapitia na kamati ya ulinzi na usalama mkoa na baada ya kujiridhisha basi itatoa kibari cha kumiliki siraha kwa mwombaji.

NB:

IKITOKEA MWOMBAJI AMEPATA KIBARI BASI SIRAHA UNAYOIOMBA UTATAKIWA KUINUNUA NA BAADA YA HAPO UTATAKIWA KUWA UNAILIPIA LESSENI YA KUMILIKI SIRAHA HIYO KILA MWAKA

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI July 28, 2023
  • TANGAZO KWA WAMILIKI WA MAENEO ENEO LA STENDI MPYA SENGEREMA July 27, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 14, 2023
  • Majina ya walioitwa kwenye Mafunzo ya Ukarani, Tehama na Usimamizi wa Maudhui katika Sensa ya Mwaka 2022 July 26, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • WAKULIMA KATUNGURU MBIONI KUNUFAIKA NA MRADI WA UMWAGILIAJI

    September 20, 2023
  • MIZUNGUKO YA WAVUVI CHANZO CHA MAAMBUKIZI VVU

    September 01, 2023
  • MIZUNGUKO YA WAVUVI CHANZO CHA MAAMBUKIZI VVU

    September 01, 2023
  • RC MAKALLA AANDAA MKAKATI KAMAMBE WA KUTATUA KERO ZA WANANCHI

    September 11, 2023
  • Ona vyote

Video

RC ATOA SIKU NNE WAZAZI KUPELEKA WATOTO KIDATO CHA KWANZA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.