• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Tehama na Takwimu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • Mawasiliano Serikalini
      • Fedha na Uhasibu
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasiri na Uhifadhi wa Mazingira
      • Taka ngumu na Usafishaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Uzinduzi wa mradi mkubwa wa Maji wilayani Sengerema katika kijiji cha Nyamazugo

Tuesday 1st, July 2025
@NYAMAZUGO

Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuri anataraji kuwasiri wilayani Sengerema Julay 4 majira ya saa mbili asubuhi kuzindua mradi mkubwa wa maji katika kijiji cha Nyamazugo kilichopo katika chanzo cha mradi huo.

Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Emmanuel Kipole alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana amesema kuwa Rais atakapokuwa wilayani Sengerema atafanya kazi moja ya kuzindua mradi mkubwa maji ambao utawahudumia wakazi wa sengerema zaidi ya watu 130,000

Amesema akiwa njiani kuelekea katika tukio la kuzindua mradi huo atasalimiana na wananchi barabarani kadri itakavyowaezekana na baada ya kuzindua mradi huo atawahutubia wananchi wa sengerema na viunga vyake hivyo amewataka wananchi kujitokeza na kumraki mhesimiwa Rais atakapowasili.

Kipole amesema wilaya ya Sengerema inajumla ya wakazi laki 74,186 kutokana na sense ya watu na makazi ya mwaka 2002 hivyo mradi huu kwa sasa utahudumia kata zipatazo tisa zinazounda maamuraka ya mji wa sengerema ambazo ,Nyamazugo Sima, Nyatukala, Ibisabageni, Mwabaruhi, Nyampulukano, Misheni, Tabaruka, Nyampande Ibondo na Nyamizeze ambapo huduma ya maji itawafikia wakazi wa sengerema wapatao zaidi ya 20, 000 na kuwaondolea adha ya maji wananchi hao.

Injiana wa maji wilaya ya Sengerema Nikas Ligombi amesema mradi huu wa Bilioni 23 ulianza mwaka 2014 ambapo ulifadhiwa na Benki ya Afrika na umekamilika kwa asilima 100 ambapo mtambo huo utakuwa na uwezo wa kusukuma lita za ujazo 1,500,000 kwa siku na hivyo ni imani yangu kuwa mradi huu utakapo zinduliwa na Mheshimiwa Rais tatizo la maji katika mji wa Sengerema litakuwa limepatiwa ufumbuzi na kuwa historia.

Mkuregenzi wa Halimashauri ya Sengerema Magesa Mafuru amesema kuwa nifahari kubwa kukamlika kwa maradi huu ambao utamaliza tatizo ya maji lililokuwa likiukumba mji wetu wa sengerema, na hivyo kuwataka wananchi kuutunza na kuuthamini ili uweze kudumu kwa muda mrefu.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO AJIRA-UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA September 16, 2024
  • TANAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI SENGEREMA August 07, 2024
  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI UANDIKISHAJI NA BVR August 08, 2024
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU ASIFU MAENDELEO YA SENGEREMA

    May 19, 2025
  • DED SENGEREMA AGUSWA NA KERO ZA WATUMISHI

    May 02, 2025
  • SENGEREMA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUTOA MIKOPO YA MILIONI 362

    March 05, 2025
  • UMOJA WA WANAWAKE SENGEREMA WATOA MISAADA

    March 04, 2025
  • Ona vyote

Video

DKT. SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA SENGEREMA
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0688223308

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Copyright ©2021 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL . All rights reserved.