• Mawasiliano |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Sengerema District Council
Sengerema District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafishaji na Mazingira
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
      • Majukumu ya Diwani katika Hamashauri
      • Wakuchaguliwa
      • Viti Maalumu
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Ukimwi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Maadili
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingizira
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
    • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Jarida Tando
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Zaidi ya Milion 62 zanufaisha Makundi ya Wanawake, Vijana, na Walemavu Sengerema

Posted on: February 15th, 2021

Halmashauri ya wilaya ya Sengerema ni miongoni mwa Halmashauri zilizopo katika nchi ya Tanzania ambayo inapatikana mkoani Mwanza katika kuhakikisha inatekeleza maelekezo, miongozo na sheria za nchi kwa mwaka wa fedha 2019/2020 imeweza kutoa kiasi cha Sh. 62,400,000 ikiwa ni asilimia 39 ya bajeti ya Halmashauri ya Sh. Bilioni 1.6 toka mapato ya ndani.

Vikundi vilivyonufaika na fedha hizo ni; Wanawake Sh. 46,900,000; Vijana Sh. 12,000,000 na Walemavu kiasi cha Sh. 3,500,000

Akizungumzia mfanikio yaliyopatikana kutokana na utoaji wa fedha hizo Afisa Vijana wa wilaya Bw. Johnson, amesema makundi haya yameweza kujiendeleza kiuchumi ikiwa ni pamoja na kuacha kuwa tegemezi ndani ya familia zao kwani sasa hivi vijana wanauwezo wa kujipatia kipato chao na si ombaomba kama ilivyokuwa huko nyuma akitoa mfano wa moja ya kikundi kilichonufaika na fedha hizo ni Kikundi cha Umoja wa Vijana Geita Road ambacho kinajishughulisha na shughuli za uchomeleaji.

Kwa upande wa vikundi vya wanawake tumetoa mikopo kwa vikundi zaidi ya 34 ambavyo vimepokea fedha kiasi cha Sh. 46,900,00 toka mapato ya ndani ikiwa ni pamoja na Baraka Group ambacho kinapatikana Ibisabageni kinavchojishughulisha na uuzaji Vitenge, utengenezaji wa Unga wa Lishe kwa upande wake walipewa kiasi cha Sh. 1,000,000 na kimeweza kurejesha kiasi chote.

Pia kikundi cha Mwanga Group ambacho kinajishughulisha na Ufugaji wa Kuku kilipewa kiasi cha Sh. 2,000,000 na kimefanikiwa kurejesha fedha yote hivyo kimeweza kufika malengo yake na kwa sasa kinajiendesha chenyewe bila kuwa na mkopo toka Halmashauri.

Katika kundi la watu wenye Ulemavu wao wamepokea kiasi cha Sh. 3,500,000 na baadhi ya vikundi vilivyopokea fedha hizo ni Wanawake Walemavu ambacho kinajishughulisha na ushonaji wa Nguo kinachopatikana Nyatukala, kimepokea kiasi cha Sh. 1,000,000 na kimeweza kurejesha Sh. 600,000

Heldep Group ni kikundi kinachopatikana Ibisabageni kinachojishughulisha na utengenezaji wa Viatu kilipokea kiasi cha Sh. 1,000,000 na kimerejesha Sh. 700,000  

Katika kutekeleza sheria hii ambayo inazitaka Halmashauri zote nchini kuhakikisha inatoa asilimia 10 ya mapato yake ya ndani kwa ajili ya makundi ya Wanawake, Vijana na Walemavu, Halmashsuri ya Sengerema imekuwa ikikutana na changamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja na;

Mosi maelekezo mbalimbali yanayotolewa na Serikali ambayo hupelekea utekelezaji wa bajeti kuwa mgumu kwani yamekuwa yakiingilia shughuli za utekelezaji wa bajeti husika hasa katika bajeti ya makusanyo ya ndani.

Marejesho ya mikopo kutorejeshwa kwa wakati toka kwa makundi yaliyokopa hivyo kupelekea ule mzunguko wa kuweza kukopeshwa na makundi mengine kuwa mgumu.

Kusambaratika kwa makundi haya hasa vijana ambao wengi wao wamekuwa ni watafutaji wa maisha na hivyo hivyo kupelekea makundi haya kusambaratika ikiwa ni pamoja na kubadili maeneo yao ya makazi na kupelekea dhana nzima ya kusaidia kundi hili la vijana kuwa changamoto.

Jamii imekuwa na mwitikio hafifu katika kujitokeza kuunda vikundi ili viweze kusaidiwa ikiwa ni kuwezeshwa kiuchumi kupitia fedha zinazotolewa na Halmashauri ambazo ni asilimia 10 ya mapato yake ya ndani.

Kaimu Afisa Maendeleo wa wilaya Bw, Abel Mosha imesisitiza kwa kusema ni kweli kama halmashauri wanapitia changamoto mbalimbali hata hivyo amesema wataendelea kutoa elimu kwa jamii ili iweze kutambua umhimu wa kuunda vikundi katika makundi haya ya Wanawake, Vijana na Walemavu kwani lengo la Serikali ni kuhakikisha makundi haya yanakuwa na uwezo wa kujitegemea kiuchumi na sikuwa tegemezi katika jamii zao.

Nae Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Sengerema amesema katika kuhakikisha changamoto ya utoaji wa fedha za mikopo katika makundi ya wanawake, Vijana na Walemavu, atahakikisha anaweka utaratibu mzuri kupitia vikao vya kishera pamoja na baraza la madiwani ikiwa ni pamoja na kubuni vyazo vipya va mapto lakini pia watahakikisha wanasimamia sheria kama inavyowataka ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kila fedha ya mapato inayopatikana asilimia 10 ya mapato hayo inatengwa kwa ajili ya kuvipa fedha vikundi.

Matangazo ya Kawaida

  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2020 January 18, 2021
  • Orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza mwaka 2021 katika Halmashauri ya Sengerema December 20, 2020
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi na vya Kati kwa Mwaka 2020 June 17, 2020
  • Mwananchi zitambue sitahiki zako kupitia mwongozo wa huduma kwa wateja ndani ya Halmashauri yako December 28, 2017
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • Zaidi ya Milion 62 zanufaisha Makundi ya Wanawake, Vijana, na Walemavu Sengerema

    February 15, 2021
  • Kaimu Mkurugenzi aridhishwa na maandalizi ya kuwapokea wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mapema mwakani

    December 23, 2020
  • Kamati ya Uongozi katika Halmashauri ya Sengerema yaridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya

    November 20, 2020
  • AMREF yatoa Elimu ya Fistura kwa wananchi

    August 21, 2020
  • Ona vyote

Video

Mhe. Mnwanizi aliyekuwa Diwani kupitia CHADEMA Sengerema ahamia CCM
Video nyingine

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani Yetu
  • Jarida Tando la Halmashauri

Viunganishi Linganifu

  • Utumishi wa Umma
  • OR-Tamisemi
  • OR-Ikulu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Ramani Yetu

Mawasiliano

    Sengerema District Council

    Anuani ya Posta: Box 175

    Simu ya Mezani: 028 2590162

    Simu: 0754650558

    Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz or dedsengerema@ymail.com

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faraga
    • Kanusho
    • Ramani Yetu

Hakimiliki@2018. Halmashauri ya Sengerema. Haki zote zimehifadhiwa