Kitengo hiki kina lengo la kuleta ufanisi na kutoa huduma kwenye nyanja za manunuzi, utunzaji na usambazaji wa bidhaa na huduma mbalimbali zinazohitajika kwa ajili ya Wilaya. Kitengo hiki kinaongozwa na Afisa Ugavi Mkuu ambaye anawajibika kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya.
Majukumu ya Kitengo cha Manunuzi
Sengerema District Council
Anuani ya Posta: Box 175
Simu ya Mezani: 028 2590162
Simu: 0754650558
Barua pepe: ded@sengeremadc.go.tz or dedsengerema@ymail.com
Hakimiliki@2018. Halmashauri ya Sengerema. Haki zote zimehifadhiwa